Wenye mamlaka wanakauli zaidi ya wenye utaalamu, kwetu sisi JPM ndiyo jaji, mganga mkuu, mtunga sharia, injinia mkuu , n.k kila kitu hata chenye kuitaji wataalam wenye mamlaka wanaingilia.. Hivyo hata uwe na PhD ukichangamana na siasa lazima jamii yetu ikuone kituko
Mkuu, habari yako kaka.Unachokizungumzia sijawahi kukiona. Nilichokiona ni wenye hizo PhD wengi wao hawajui kutangamana na binadamu wenzao ndani ya jamii.
Mara nyingi kwa sehemu ya elimu waliyoipata huwa wanawadharau wale wengine ambao hawajapata sehemu ya elimu kama waliyopata wao. Wanakuwa na viburi na dharau.
Matokeo yake yanakuwa huo uzi uliyouleta wewe. Hawachukiwi kwa sababu ya elimu yao, wanachukiwa kwa sababu ya mienendo yao ya kutangamana na watu ndani ya jamii.
MnooHii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?
Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
We jamaa acha chuki. Ulitaka PhD wakafanye nn na hayo maji Ziwa Victoria?Cha ajabu bunge letu PhD na Profesa za kumwaga lakini watu wanaoishi karibu na Ziwa Victoria wananunua maji ya dumu, mniwie radhi kama sijaeleweka.
Kutoa maoni yangu ni chuki?We jamaa acha chuki. Ulitaka PhD wakafanye nn na hayo maji Ziwa Victoria?
Ungefafanua zaidi ukatoa na mifano nafikiri ingekaa vizuri na madam yako ingetoa fundisho na hamasa hatimaye wengi wangezitatuta hizo PhD ahsante.Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?
Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Unaongea nn wewe KIWADU acha chuki.PhD sio intelligence don't confuse Education and intelligence