Bongo star search 2015

Huu ni mwaka wangu,Yanga walichukua kombe la ligi kuu,Arsenal wakabeba makombe,Yanga ikaifunga Simba,Arsenal ikaifunga Man U...
Kayumba kashinda bado Lowassa nifunge mwaka.
Happyyyyyyyy......

Khaaa yote nimekubali ila hapo pa man u kufungwa roho imeniuma Sana umenikumbusha machungu
 
Huu ni mwaka wangu,Yanga walichukua kombe la ligi kuu,Arsenal wakabeba makombe,Yanga ikaifunga Simba,Arsenal ikaifunga Man U...
Kayumba kashinda bado Lowassa nifunge mwaka.
Happyyyyyyyy......

Hahaa..Kayumba amekosha nafsi.
 
Khaaa yote nimekubali ila hapo pa man u kufungwa roho imeniuma Sana umenikumbusha machungu

Hahahahaaaa pole sana mkuu.
Huu mwaka tokea unaanza nilinuia utakuwa wa furaha,kumbe mtu ukiomba mambo yako mwaka mpya inakuwa kweli?
 
cc Gentamycin
 
Last edited by a moderator:
Wamempa dogo sijui coz kafanana na Kendrick Lamar ama nini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…