Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahahaha team makelele oyeee. Daah basi watakuwa wamewafanyia jambo la maana sana kuwakabidhi kwa babu tale. Naamini tutaendelea kuwaona kwenye gameMie nilikuwa team walter alafu rafiki yangu team wababa jamani ile siku nadhani majirani walituchukia maana sio kwa kelele zile.
Aisee!! Nimeona this year top5 inasimamiwa na babu tale sijui, alafu pesa hawatopewa zote zingine zitatumika kuwasaidia na kuwasimamia angalau wafanye la maana.
Ndo nilivyosikia sikia hivyo. Wanadai washindi wengi after TPF hawafurukuti tena, so it's like hakuna mziki unaossuportiwa. Maana washindi hata hawaendelei na mambo ya mzikiDaaah basi wamefanya kitu mbaya sn, that was grt project
kasema baba yake anaishi kwa mtu anatamani amjengee nyumba amuhamishe.
Daah nani huyo alosema hivi? Najitahidi kuangalia mlipoanzia convo yenu hata sioni kitu mwaya
Hahahaha team makelele oyeee. Daah basi watakuwa wamewafanyia jambo la maana sana kuwakabidhi kwa babu tale. Naamini tutaendelea kuwaona kwenye game
Ndo nilivyosikia sikia hivyo. Wanadai washindi wengi after TPF hawafurukuti tena, so it's like hakuna mziki unaossuportiwa. Maana washindi hata hawaendelei na mambo ya mziki
Mie nilikuwa team walter alafu rafiki yangu team wababa jamani ile siku nadhani majirani walituchukia maana sio kwa kelele zile.
Aisee!! Nimeona this year top5 inasimamiwa na babu tale sijui, alafu pesa hawatopewa zote zingine zitatumika kuwasaidia na kuwasimamia angalau wafanye la maana.
Nakumbuka mwaka fulani waliwahi kupewa fursa za kutunga nyimbo zao wakajajiwa kwalo, ila sijaiona tena hii, unakuta mtu ni muimbaji mzuri ila sio mtunzi hapo sasa, lazima upate changamoto, lasivyo upate management nzuri itakayokusaidia kupata watunzi kama kina Linah tu, ni waimbaji ila wanakiri kabisa hawawezi kutunga.
Jamani naombeni mwenye kujua ratiba ya marudio ya BSS aniambie maana umeme huu nina wiki ya 3 sijaangalia.
Vipi my dearest Kayumba Juma bado yupo?
kayumba all the way to the trophy, unaweza kuichek jumamosi saa nane
Oyooooo,I like him jamani.
Na namsapoti huyu mtoto Mungu amsaidie ashinde maana nitafurahi sana.
Asante sana,ile ya katikati ya week huijui?
Vibaya mno douta...Dogo anajitahidi..Ntakutumia vocha umpigie kura lol
Daddy angel mary lazima awepo. Nahisi hapo kwa jackline kakengi atakuwepo angel mary. Hao wengine wapo exactly as I predicted. Daddy na douta tuna same taste
Oooh kumbe, basi anafit sana kwenye group. Anajitahidi mno
Hahahah hamna bana daddy, si itakuwa waliamua pale pale jukwaani bana. But people hazina hata habari na jack na kev
Eeh maskini me nakumbuka alisema alishindwa kuendelea na secondary afu sijui anauza mitumba vile. Looh nimepata sababu nyingine zaidi ya kumpigia kura tehalisema kayumba ktk interview fupi
Marudio clouds tv ni jumanne saa 5 asubuhi ( hii sina uhakika nayo sana) na Alhamisi Saa 8 mchana. Your dearest kayumba yupo anafanya yake kama kawaidaJamani naombeni mwenye kujua ratiba ya marudio ya BSS aniambie maana umeme huu nina wiki ya 3 sijaangalia.
Vipi my dearest Kayumba Juma bado yupo?
Hahhah kuna aslay pale kati, maromboso et al. Sipati pichaaaaaSio tu kufit sweetheart, anaenda kuwafunika!
Sure..Emmy pia nilikuwa namkubali...Hawa bss baada ya mashindno sidhani kama wanajishughulisha na mshindi..Ila wangekuwa wanajitolea kuwasimamie wangekuwa wanafika mbali sana...Coz Rita,Salama na Master wana connections nyingi sana kwenye soko la mziki bongo..Sema ndo hivyo baada ya mashindano nadhani wanawadamp tu...Mtu kama walter angekuwa na management nzuri angekuwa mbali sana now