Bongo Star Search 2009: Burudani kweli!?

p funk zamani ilisemekana unatumia kilevi aina ya bangi sikuamini lakini kwa sasa naanza kuamini kwamba unatumia kilevi hicho..... kwanini unafanya hivyo lakini? sijakupenda hata kidogo mkubwa jirekebishe plz!!

kama ulifuatilia kipindi kwa umakini ilifikia mahali baadhi ya matusi aliyokuwa akiropoka yakawa 'yanafichwa' kwa manufaa ya watazamaji.hata tukisema abadilike, na kweli akabadilika, itakuwa ni baadae kwenye final kwa kuwa hivyo vioja tunavyovishuhudia vilijiri wakati wa preliminaries huko mikoani. kwahiyo tutegemee kuendelea kushuhudia maoni ya bangi. Na mimi kwa mtazamo wangu inaonekana jamaa bado anakula msuba, kwa mtu mwenye akili zake kamili hawezi kudhalilisha wadogo zetu kiasi kile, isipokuwa mwenye kutumia sigara kubwa!!!!!
 
Kwa kweli inawavunja moyo washiriki. Kwani ukimwambia mshiriki umejaribu kaongeze juhudi itakuwaje? kwa lugha zenu chafu majaji mnaua vipaji badala ya kuvikuza. Hivi Tanzania hakuna majaji wazuri zaidi ya hao vichaa wawili Master J. na huyo P-Funk sijui nani mzee wa majani?
Madame Ritha waondoe kabisa hao jamaa wawili wanapunguza umaarufu wa kipindi . John Kitine yuko wapi?
 
 
Niliangalia kipindi cha bongo star search cha j4 usiku,jaji p funk majani alipomuambia yule mshiriki akatafute mashuga mummy kwakuwa hajui kuimba,tv ilipomuonyesha jaji rita paulsen alionyesha kujikausha huku akichezea simu yake( kwa mara ya kwanza toka kipindi kuanza alikuwa serious), inaonyesha hiyo hoja ilimgusa yeye direct na huyo mtoa hoja alikusudia kumfikishia ujumbe yeye.
Rita ana umbo zuri,kuna mtu mwenye kujua age yake anijulishe?
 


...ili ufanyeje, mwana! 🙄 🙄
 
Hata mimi nilikitazama lugha ya huyo jamaa haifai kabisa mimi nataraji kama wenyekuendesha kipindi hicho na mkurugenzi wa station hiyo ya TV ni wastaarabu basi watamuondoa katika ujaji.vinginevyo mamlaka husika kama zinajali majukumu yao wachukue hatua.
 
nikusahihishe bangi sio kilevi ni kiburudisho.......
....bangi inafanya uwe na akili ya ziada na mawazo mbadala sio kama ya p funky....tafadhalini sana msihukumu bangi
😀 😀
Good!!!
 
nikusahihishe bangi sio kilevi ni kiburudisho.......
....bangi inafanya uwe na akili ya ziada na mawazo mbadala sio kama ya p funky....tafadhalini sana msihukumu bangi


We Yo Yo nani kakwambia bangi inakufanya uwe na akili!!? Bangi inakufanya uwe na Hasira nyingi na Nguvu kidogo. Sasa Jaza mwenyewe wacha kupotosha watu
 
We Yo Yo nani kakwambia bangi inakufanya uwe na akili!!? Bangi inakufanya uwe na Hasira nyingi na Nguvu kidogo. Sasa Jaza mwenyewe wacha kupotosha watu
inaelekea wewe unaikosea, unatakiwa uwe na chakula tumboni kabla!
 
nyie watu ni washamba sana.. tafadhalini mgoogle simon cowell!.. that is reality tv
 

Kwahiyo unatuambia nini? Wewe unafurahishwa nahaya? Au kuna haja gani ya kuiga upuuzi eti kwavile tu Wamarekani na Wahindi walifanya hivyo?
 
Hapo kwenye bold ni neno la kudhalilisha na nilidhani BASATA wangeuliza mantiki ya kutumia lugha dhalili kama ile.
Mnakumbuka ile big braza ya UK iliyofanyika uingereza miaka fulani nyuma, kuna mwanadada alifanya bulying kwa mshiriki kutoka India ambapo matata yake hayakuwa madogo.
Mimi nashauri vyombo vinavyohusika kumulika hivi vipindi kwa sana tu. kwa kuwa maadili siku hizi si ishu basi waangalie kama UTU unalindwa ktk hizi rialiti showz. Mimi nimeacha kabisa kuangalia hiki kipindi since mwaka jana na pia hata habari zake kwenye magazeti naziepuka.
 
Kweli majani anabowa amekifanya kile kipindi kipoteze maana halisi ya kutafuta vipaji. Wale wanaokwenda pale nikwa wanaamini kuwa wanaweza sasa zile kauli matusi,kejeli zinawakatisha tamaa.
Rita jaribu kuwashauri hao unaowaona kuwa ndio majaji kuwa kile kipindi kinaangali hakiangaliwi na wake zao ama wahuni wenzao kinaangaliwa na watu wengi marika tofuti hivyo wafuate maadaili sio kubwatuka mambo yasio faa.

Jambo jingine hivi kweli kabisa Rita ulikosa waalimu waliobobea ktk muziki wanaojua nini maana ya sauti mtu anawezaje kucheza na koo lake kama Mzee Kitime ukaenda kuwaokota hao viokote vyako wanao jiona kuwa wanajua muziki kumbe ni wizi mtupu.

Ushauri wa bure Rita wewe ni mtu mzima jaribu kuwakanya hao vijana wako kuhusu matumizi ya lugha na utafute waalimu halisi wanao jua muziki Tanzania ina waalimu wengi sana wanao jua muziki, ukiendelea na hao vibweka vyako hadi mwisho kipindi kitapoteza maana ya kuibuwa vipaji.
 
Madame Rita, waondoe hao majaji wako mara moja la sivyo project nzima itakosa maana na itaonekana kuwa ni ya kihuni. Mlianza vizuri lakini sasa mnakosa mwelekeo.

Hata kama ni ofisini mtu amekwenda kufanya interview, akifanya vibaya haambiwi maneno ya kejeli kama ya hao wahuni wanavyofanya. Hebu wawe wastaarabu na waache mara moja kuwadhalilisha wasanii vijana wetu, la sivyo tunaangalia namna nyingine ya kushughulika nao. Komeni nyie.
 
Son of Alaska,
Hebu na wewe tukana uone kama utasalimika. Ustaarabu ndiyo utamaduni na jadi yetu waTZ, lakini kwa staili hii mhh!!!
 

aisee! imebidi nicheke aisee.. eti tokaa mlango ulee
 
Hawa majaji si P-Funk tu peke yake, bali na wengine wanatumia lugha ambayo haifurahishi wala kupromote vijana, wanaonekana wanaarrogance fulani na hata huo ujaji sijui walisomea na kujifunzia wapi. Kama wapo kwenye mtandao huu nawaomba wabadili kauli zao wazotumia kwa washiriki wa bongo star search
 
I think to them is another way of entertaining the viewers. Creativity ya kipindi Zero, Majaji mhh labda Dada Rita na Mzee Kitime lakini hao wala ndumu, mibangi inachemka kwa kichwa. Basata na MSI wamelala wapi au mpaka siku akashifiwe mtoto wa mnene ndio washituke? na wadanganyika wenzangu twapenda short-cuts na uvivu, kwani kazi lazima kuimba? na kama kuimba lazima kaimbe kwa church au hata kwenye kwaya za kisiasa tu. Wenye busara wamekaa mbalii na hiyo Bange Star Search.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…