Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

Sasa muwe mnaongea basi ili Extrovert na wenzie wasiendelee kuamini kuwa shilingi ina upande mmoja tu 😏😏
Mie binafsi mademu zangu wote hamna ambaye amewahi kunisumbua kwa invoice kasoro mmoja tu ndio alikuwa kichomi.

I might be good at picking the right women but haiondoi ukweli kuwa tatizo lipo.

Hio kitu ni mwamba ndio alikuwa analalamika kwamba spoku zimezidi kwa madem wa mjini na hii ni kwa wengi sio yeye tu
 
"Kwa hali ilivyo sasa viumbe esp. jinsia pinzani waishio katika Tized hasa maeneo ya mijini wamegeuza swala la mapenzi kuwa kama ajira kwa maana wanadai stahiki zote a.k.a house allowance, transport allowance bila kusahau invoice za kujikimu a.k.a per diem yani misosi, saluni, vocha vocha hizi!

Haya mambo ameyaongea jamaa yangu kwa hasira nikacheka sana akidai kwamba hali ni tete.

Nilimcheka sana jamaa ila nimeona nije kushea nanyi mnieleze experience zenu kuhusu hili! Je, kweli hawa watoto wamefikia kiwango hicho?
Mkuu inaonekana huna exposure kabisa! Tena nikuambie hapa Tanzania bado watu wanafanya mapenzi bure kabisa bila kupata ujira wowote. Ulaya hiyo ni ajira kabisa na wanalipa hadi kodi na ukipewa huduma ukaacha kulipa unashitakiwa mahakamani na kufungwa. Hii ni kwa Taarifa yako na wengine ambao hawana exposure ya kutosha kuhusiana na biashara hiyo!!
 
Hahaha
Mkuu inaonekana huna exposure kabisa! Tena nikuambie hapa Tanzania bado watu wanafanya mapenzi bure kabisa bila kupata ujira wowote. Ulaya hiyo ni ajira kabisa na wanalipa hadi kodi na ukipewa huduma ukaacha kulipa unashitakiwa mahakamani na kufungwa. Hii ni kwa Taarifa yako na wengine ambao hawana exposure ya kutosha kuhusiana na biashara hiyo!!
ila bongo imezidi bana kwa sababu hamna bei maalumu na biashara inafanyika gizani (black market)!

Wapo wanaoumia sana na wengine wanainjoy uchumi wa kati for free😂😂😂
 
Tatizo sio mademu. Tatizo ni umaskini uliopo hapa nchini hadi mtu anaamua kutumia mwili wake kama chanzo cha mapato (source of income).
 
Mie binafsi mademu zangu wote hamna ambaye amewahi kunisumbua kwa invoice kasoro mmoja tu ndio alikuwa kichomi.

I might be good at picking the right women but haiondoi ukweli kuwa tatizo lipo.

Hio kitu ni mwamba ndio alikuwa analalamika kwamba spoku zimezidi kwa madem wa mjini na hii ni kwa wengi sio yeye tu
Kama ndivyo basi mshauri nae awe picky kama wewe.

Hana haja ya kulalamika kuhusu kitu ambacho ana uwezo wa kukibadili. Mwisho wa siku watu wengine wanaishia kuamini kila mwanamke anatumia mwili wake kupata hela maana story ni hizo hizo . 🙄🙄
 
Hahaha
ila bongo imezidi bana kwa sababu hamna bei maalumu na biashara inafanyika gizani (black market)!

Wapo wanaoumia sana na wengine wanainjoy uchumi wa kati for free😂😂😂
Ni kweli hapa bado ni free ni wewe tu ukiweza kubargain vizuri pia kwa kuwa hawalipi kodi. Ulaya wanalipa kodi kabisa.
 
Umetembelea nchi ngapi..unaexposure kiasi gani...Au Basi unakuja na baseless conclusions.
Mimi nimetembelea kama nchi tatu hivi za Afica ambako pia nimekutana na watu weupe.
Kule nilienjoy sana kudate na wanawake.
Maana kazi yangu ilikuwa tu kuwasiliana na kuomba kutoka naye out weekend tu akishakuja namchukua kwenda naye kwenye pub au club au nje ya hotel ninayoishi.
Tukishakaa tunaagiza vinywaji na vyakula tunakunywa vichwa vikichangamka tunaenda chumbani tunaanza maromance tukiamka asubuhi nampa hela ya taxi anarudi kwao.
Sijawahi kupata stress za kuambiwa nitume na ya kutolea.
Wanawake wa huku bongo anataka kila kitu umgharamie kodi,nguo,chakula halafu weekend mnapanga muonane anakwambia tuma nauli,unamtumia nauli unavuruga ratiba zako kumsubiria geto baadae anakutumia meseji sorry baby siwezi kuja nauguliwa na bibi unabaki disappointed.
Wanawake wa nchi zingine kama hana muda anakwambia mapema hana muda,na akikwambia atakuja ana uhakika atakuja.
 
Kuja jamaa alisema Yani ile umeanza tu mawasiliano ya simu demu wa kibongo anakuwa ameishiwa kodi ya nyumba/chumba kwa hiyo umlipie, ameibiwa simu hiyo ulomkuta nayo amefanya kuazimwa kwa hiyo umnunulie, amefiwa na bibi yake mlezi au anauguliwa kwa hiyo umpe nauli aweze kusafiri , nywele zimechoka kwa hiyo umpe hela ya saluni kama anagari atakwambia bovu umpe hela ya kwa fundi,

Kama ni single mother atakwambia mwanangu amefukuzwa Shule hajalipa ada

Sasa jamaa akauliza how coincidence is that?

Yani kila mara ni kutoa shida zake na kutaka pesa tu?!

Wanaume wanaibiwa sana!
wanaume wengi wanateswa sana mpaka aibu naona mimi.
Ila wanawake inabidi waone aibu muda mwingine haiwezekani matatizo yote hayo yatokee baada ya kukutana na mwanaume.
 
Mimi nimetembelea kama nchi tatu hivi za Afica ambako pia nimekutana na watu weupe.
Kule nilienjoy sana kudate na wanawake.
Maana kazi yangu ilikuwa tu kuwasiliana na kuomba kutoka naye out weekend tu akishakuja namchukua kwenda naye kwenye pub au club au nje ya hotel ninayoishi.
Tukishakaa tunaagiza vinywaji na vyakula tunakunywa vichwa vikichangamka tunaenda chumbani tunaanza maromance tukiamka asubuhi nampa hela ya taxi anarudi kwao.
Sijawahi kupata stress za kuambiwa nitume na ya kutolea.
Wanawake wa huku bongo anataka kila kitu umgharamie kodi,nguo,chakula halafu weekend mnapanga muonane anakwambia tuma nauli,unamtumia nauli unavuruga ratiba zako kumsubiria geto baadae anakutumia meseji sorry baby siwezi kuja nauguliwa na bibi unabaki disappointed.
Wanawake wa nchi zingine kama hana muda anakwambia mapema hana muda,na akikwambia atakuja ana uhakika atakuja.
Hahahah hawa wanawake wa kujivunjiaga ratiba wanaudhi kicenge!
Kama mtu haji bora aseme sio unakula alkasusu kisha anasema haji🤣🤣🤣
 
Ngumu sana kwa kweli, huwa hawajui wanachokitafuta kwenye mahusiano, wanataka kuonyesha nguvu ya pesa kwenye penzi, demu akirespond wanalalamika kwamba ni biashara
We mwanaume akikufata na maneno matupu bila kuona dalili ya hela mtaelewana kweli au ndio ile...

"Mtende nakupenda sana mama ntafarijika sana kama utakuwa sehemu ya maisha yangu"....

"Asante nashukuru kwa kunipenda!"
 
Nilishasikia wanaume wanamiliki zaidi ya asilimia sitini ya fedha duniani kote Ila asilimia hamsini zinatumiwa na wanawake sijui ni kweli au ilikuwa chai.
 
Back
Top Bottom