Bongo movies...

jini akitaka kuvuka barabara aanaangalia pande zote....... m2 akichomwa kisu lazlma iwe tumboni......
 
kila muv ina part 1 na 2 halafu zinauzwa separate na zote zina behind the scene ambazo zimekuwa lazima katika kila muv.:A S-confused1:
 
kwenye sub title...umeme wa luku ukiisha the luku is finish(lipa umeme kadri utumiavyo-kiswahili)...badala ya kutumia electricity units...ni kama vile wanajitafsiria wenyewe wakazi wa tanzania na si wasio watanzana....Kenya wenyewe hawajui Luku ni jinamizi gani..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…