ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,341
Si mnayatega na kuyalipua wenyewe? Au unadhani hamjulikaninadhani wakiguswa na wao wanaweza kumpata mchawi wa hayo mabomu,tukiendelea kufa sisi wataendelea ku relax
Si mnayatega na kuyalipua wenyewe? Au unadhani hamjulikaninadhani wakiguswa na wao wanaweza kumpata mchawi wa hayo mabomu,tukiendelea kufa sisi wataendelea ku relax
Swali zuri sana, Arusha ndo centre of recruitment of potential terrorist, kuna viongozi wa dini wanapita wanawadanganya wazazi hasa familia maskini kwamba wanakwenda kuwasomesha watoto wao Kenya. Watoto wakifika Kenya wanashangaa kwamba mafunzo wanayopata ni karate, baadaye watoto hao hupelekwa Somalia kufanyiwa brainwashing na kufundishwa ugaidi.
Kwa taarifa za ndani ni kwamba wako wengi sana na wanaamini watu wote wasioamini wanachoamini ni makafiri na kwa hiyo wanastahili kifo.
It is time for the government to step up to confront recruiters otherwise there is more to come
....,centre of recruitment of potential terrorist,..... Acha hadithi za kubuni leta ushaidi
So sad kusikia hadithi za alinacha...wakawadanganye watoto wao, hako ni kamchezo danganya toto!!!
You are obviously retardedNitumieni salam nyingi sana kwa kamanda lema
Kama Bomu limetegwa kwa Rc nani kagundua kabla ya kulipuka? Tunataka majibu ya kina? Swali lenye utata inakuwaje kwingine kote yanalipuka kwa Rc lisilipuke liteguliwe? Tunataka majibu
swali zito sana hili Mulongo kujibu..labda Mwigulu
chadema wameharibu mji wa Arusha. Huku Dodoma hatutaruhusu huu ujinga utokee.
Arusha yetu ilikuwa na Amani sana...!
Lema atawatafuna mpaka mkome...wakati yeye ni mtu wa Moshi. Kwanini asiende kutega hayo mabomu Moshi???
Acha ujinga mchumia tumbo wewe.chadema wameharibu mji wa Arusha.k
Huku Dodoma hatutaruhusu huu ujinga utokee.
Mwigulu and the co, mutashindwa na kulegeaSi mnayatega na kuyalipua wenyewe? Au unadhani hamjulikani
Dodoma tutaendelea kuikumbatia ccm mpaka ukamilifu wa dahari, hatutaki MAPAKA ya chadema hata kidogo!!
Nitafurahi Kikwete atakapochomekwa majiti kama Gaddafi anaharibu sana nchi hiiLema akamatwe kwanza
Mwigulu na CCM yakeWakenya hao wanataka kufukuza watalii Arusha kama ambavyo wamekimbizwa huko kwao na maharamia wa kisomali. Kenya ni noma jamani!!!!