Bomu lategwa nyumbani kwa RC Mulongo

Bomu lategwa nyumbani kwa RC Mulongo

Hapo lingelipuka tu,Mlongo atenguke kiuno labda wataamka usingizini

Akili yako imegandishwa! Binadamu aliyezaliwa kwa makusudi ya Mungu hawezi kufikiri na kuandika upuuzi huu. Wewe jamii ya watu wanaolawiti mama zao! Toka ulawiti mama yako akili ilishahama. Kama una tamaa na vita funga safari uende somalia, darfur au kongo huko utaishi kwa raha kwa kuwa una akili za kishetani!
 
Binafsi nina mashaka na Mbunge wa Arusha. Ahojiwe...

Problem ya wachangiaji wengi inaonekana you are already confined yourself the way you think, you are not ready to think beyond CCM and CHADEMA, why don't you think out of the box?
 
Serikali ya CCM kweli imefika mwisho! Mambo mengine kweli ni ya kijinga, hayana hata chembe cha ubunifu! Ehe! safari hii sijui ni madai gani watakuja nayo katika harakati zao za kuhamisha goli. Walipataje habari kuwa kuna bomu limetegwa? Nani wanataka kumbambikizia hii kesi? Usanii mtindo moja!
 
Jamani tujadilini mambo ya msingi hebu tuacheni utani wakati mabomu ya kweli yakilipuka
 
Ubalozi wa Marekani unalindwa na nani??? ........nilishakuambia nina wasiwasi na elimu yako.[/QUOTE

Ubalozi wa Marekani haukutegwa bomu getini BALI gari la maji liliingia ubalozini kama gia ya kupeleka maji,kumbe hayakuwa maji lilikuwa bomu. TOFAUTI kabisa na kutega bomu getini.

ILI mradi 2015 iko karibu mno WANAMITANDAO watamalizana wenyewe kwa wenyewe huko CCM.

Mbinu za kuwadhibiti CHADEMA sasa zimehamishiwa ndani kwenyewe. Kama kwa uroho wa madaraka tumeteka, tumetesa, tumewatia watu jela na tumeuwa wanaotishia donge letu. KWESHONI, je! hatuwezi kufanya ivo hivyo kwa wale wa ndani mwetu wanaozuia kundi letu kushika dola???...!!!...???
 
Kwa Mlonngo hapa lingelipuka nadhani isingepita wiki walipuaji wangekamatwa

Uko sahihi sana kaka ni sawa na kifo cha Barlow jinsi polisi walivokamata wahusika haraka ila mlalahoi tutakesha na majibu yao tukimkamata,tutakujulisha
 
So sad kusikia hadithi za alinacha...wakawadanganye watoto wao, hako ni kamchezo danganya toto!!!
 
Kama Bomu limetegwa kwa Rc nani kagundua kabla ya kulipuka? Tunataka majibu ya kina? Swali lenye utata inakuwaje kwingine kote yanalipuka kwa Rc lisilipuke liteguliwe? Tunataka majibu

Kaka nakupa pongez mana umeleta hoja sawa na nliotaka kuuliza,imekuaje pengne yanalipuka bila kushtukiwa na kwa mkuu wa mkoa imeshtukiwa?au ndio njia ya kutaka kumframe mtu esp. Lema?Huyo alieshtukia,amejuaje?why wasimtumie yeye kugundua sehem zote mabom yanapolipuka?Nahisi mambo ya mbwa kala dog.
Yan tofaut hapo ni mbwa na dog ila wote ni wale wale.
Ni mtazamo tu
 
Asubuhi hii askari Polisi na Jeshi wameizingira nyumba ya Serikali ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo iliyopo jirani na Mahakama Kuu Arusha wakijaribu kutegua kinachodhaniwa kuwa bomu kimetegwa katika geti la kuingilia nyumba hiyo na watu wasiojilikana.

Kinjia kinachokatiza maeneo hayo kutokea Mt Meru kimefungwa.

Wakati huo huo kuna taarifa za usiku zikieleza watu kadhaa wamejeruhiwa katika Mgahawa mmoja wa Jijini hapa na wawili kati yao wako katika hali mbaya. Hili litakuwa tukio la sita kutokea katika Jiji la Arusha ndani ya muda mfupi, kuanzia May 2013.

Tukio la kwanza lilikuwa Kanisani Olasiti watu watatu wakafa.

Baadee katika Mkutano Chadema Soweto watu watatu wakafa tena na mamia kulemaa

Ikafuata Usa River siku ya Mkesha wa mwaka mpya kwa wamama waliokuwa wanatoka kanisani

Halafu katoka Bar ya Arusha Night Park

Juzi hapa ikawa kwa nyumbani kwa Sheikh maeneo ya Majengo

Na sasa katika hiyo Restaurant na chupuchupu kulipua nyumbani kwa RC!

Mungu azidi kutunusuru na binaadam wadhalimu kama hao
 
Kaka nakupa pongez mana umeleta hoja sawa na nliotaka kuuliza,imekuaje pengne yanalipuka bila kushtukiwa na kwa mkuu wa mkoa imeshtukiwa?au ndio njia ya kutaka kumframe mtu esp. Lema?Huyo alieshtukia,amejuaje?why wasimtumie yeye kugundua sehem zote mabom yanapolipuka?Nahisi mambo ya mbwa kala dog.
Yan tofaut hapo ni mbwa na dog ila wote ni wale wale.
Ni mtazamo tu

Naam kaka! Inanipa tabu sana kaka yani siasa za Tanzania ovyo kabisa.Mimi nataka majibu tumechoka kusikia ngonjera hii nchi ni yetu sote.
 
Sio rahisi bomu litegwe getini. Askari wapo 24 hours. Mtu mwingine anaweza kudai " Hata mimi ni target" Halafu attention akapinda.
 
Huu ni usanii tu. Nyumba ya mkuu wa mkoa inalindwa na FFU 24/7. Hao waliotega hilo bomu kwa nini hawakuonwa na hao askari na lilitegwa getini?

Nasema tena ni usanii.

Tiba

Mkuu umeuliza swali la msingi sana. Nyumba ya RC inalindwa around the clock 24 hrs, vipi bomu liweze kutegwa na wategaji wasionekane? Wanataka kutufahamisha kuwa hao walinzi ni incompetent?
 
Ccm wameanza na mbinu za kizamani eti waanze kusema chadema mbaya tokea muwahague vurugu,badala wawaze kuondoa umaskini kwa wananchi wao wanawaza uchguzi chama cha kigaidi bwana balaa kwa uzushi.
 
Huu ni usanii tu. Nyumba ya mkuu wa mkoa inalindwa na FFU 24/7. Hao waliotega hilo bomu kwa nini hawakuonwa na hao askari na lilitegwa getini?

Nasema tena ni usanii.

Tiba
Mkuu nimekuelewa haya majitu yamekuwa na aiasa A ajabu sana, wameamua kubalance...

Wameshindwa tayari hii njia yao nyingine
 
Back
Top Bottom