[/QUOTE]Mkuu Jasusi vipi ukahamia Unguja bado utaonekana mtanzania hasa baada ya tetesi upo uwezekano wa mafuta huko ?.Je hudhani hii sera ya majimbo [CDM] inaweza kupelekea mikoa ya Lindi na Mtwara kutamani kujitenga ?.
.
Mkuu Ngongo,
Siwezi kuhamia Unguja wakati tuna Tanga. Sera ya majimbo haiwezi kupelekea Lindi na Mtwara kutamani kujitenga kwa sababu watawezeshwa ku-control maliasili zao kwa kutumia sehemu kubwa kwa maendeleo ya majimbo hayo na kuchangia pia kwenye keki ya taifa. Kwanza wajitenge waende wapi? Pia usisahau hakuna jimbo linaloweza kusimama peke yake bila kutegemeana na jirani.