Bomu la Lowassa: Tumeligundua, Tunaliteguaje?

Bongolander,
I can't agree with you more. Adui mkubwa wa kwanza katika kupiga hatua ni sisi wenyewe. Tangu Uhuru hatujaweza kuchukua hatua za makusudi kukabiliana na matatizo yetu. Mathalan, inakuwaje miaka 50 sasa hakuna kiongozi aliyewahi kuwa 'bold' kwamba tu-balance bajeti yetu? Hata kama ni kwa austerity measures we must try.
By the way wananchi wanaishi katika austerity measures kila siku!

Ukitazama bajeti na miradi au mipango ya maendeleo haviwiani kabisa. Kwanini daraja moja lipangiwe fedha za matumizi kwa bajeti 3 mfulululizo, in other words it's all abaout embezzlement!

Turudi katika upoteaji wa fedha, ni nani amewahi kuwajibishwa zaidi ya kusikia tu taarifa ya CAG

Mchambuzi, tukiangalia external factors nakubaliana sana nawe kuwa nchi za Afrika pamoja na kulalamikia vyombo kama WTO, IMF, WB bado hazijaungana kikamilifu. Ukiacha mawaziri uliosema walikutana mwaka 2000, kwasasa hatuna watu wa aina ya akina Nyerere ambao waliweza kusimama kidete na kutetea unfair trade.

Japo basi akina Nyerere waliliangalia jambo hili kwa mtazamo wa south south commission. Je baada yao nani tena?

Nilifuatilia UNGA 2012. Katika nchi zote kutoka south kila mmoja aliongelea nchi yake. Waziri wetu akimwakilisha Rais aliongea Mkukuta, elimu na Ukimwi, vivyo hivyo kwa kwa wengine. Hakuna common ground katika kukabilaina na trade imbalances ambayo inaathiri sana nchi zetu na kama ulivyosema ni kungo muhimu cha maendeleo.

Zakumi, Nikubaliane nawe kuwa tunahitaji ku-modernize Agriculture kutoka tuliyo nayo kwenda Agrotech.

Hili lina maana moja kubwa, kwamba tutakuwa self sufficient nakuwa na commercial surplus. Kwa hali ya sasa duniani hasa kwa kuzingatia mabadiliko ya hali ya hewa hii ni missed opportunity ya sisi kuwa supplier within our region and perhaps the world at large

Lakini pia inatupaswa tukumbuke kuwa modern agric ya kutumia machine haipunguzi ajira bali kuongeza. Hapa ndipo nakubaliana pia na mchambuzi. Mfano, Marekani na nchi kama Canada wanatumia machines lakini hiyo haijazuia sekta ya kilimo kuajiri. Ingelikuwa Wamarekani wazawa wanapenda kujishughulisha na kilimo basi hata Unemployment isingekuwa hapo ilipo.Kazi hiyo wamewaachi Wamexco.In fact it is a big industry south border. Ukiangalia remittance ya Wamexco utaweza kukubalina nami. Hata marekani bado reseach na vitu vinavyoambatana na kilimo vinatoa ajira nzuri tu.

Niseme kuwa matumizi ya machine yanahitaji human input kwa namna yoyote iwavyo. Kuna limitation na hapo ndipo manpower inapohitajika kuanzia research, planners, operators of machine, suppliers wa vitu kama fertilizers na shughuli zote za kijamii na kiuchumi zitokanazo. Nadhani kuwa, bado katika nchi yetu tunahitaji kilimo kama sehemu ya kupunguza tatizo la ajira, iwe kama tulivyo au kwa kutumia machines.
 
Tu wavivu wa kufikiri na kufanya UBUNIFU, Poor and Dependent Technology, tunataka Uchumi wa viwanda!

Wenyewe TUNAJIDUNISHA, nani atathamini bidhaa za ndani? Soko la Ndani HALIPO, tunataka uchumi wa Viwanda! Hatuna MITAJI, tunataka Uchumi wa viwanda na Ushindani wa Biashara!

Mbaya zaidi HATUNA MAAMUZI YETU KAMA NCHI, tunataka Uchumi wa viwanda.

TUNAJARIBU KUUNG'OA MTI KWA KUTINGISHA MATAWI...NA HUYU NDIO ADUI WETU KWA SASA!

*Kwa hali hiyo vitakuwepo kila KONA, kama Afrika Kusini, lakini mwanaafrika wa Tanzania maisha yake ya juu ni kuhama Tandale kwenda Manzese, na Manzese to Mburahati, amemaliza! Huku akikenunulia meno majengo marefu katikati ya mji pua mchongoko na vibaraka wao madirishani wakitema mate chini, na sisi tukiita MAENDELEO.

Tunahitaji kukombolewa KIFIKRA KWANZA, kabla hatujakurupukia vinginevyo!

Mfano mdogo tu: Kwa wale wanaoshabikia mpira, walitamani uwanja bora, lakini walipoupata hao hao ndio wanaong'oa koki na viti, au kujisaidia ovyoo! Huyo ndio MTz.

Ukimpa gauni zuri Makambako ili ajifunike, atalikata mikono na urefu ataupunguza ili aoneshe mapaja, kwapa, kitovu na kifua! TUNAHITAJI UKOMBOZI WA KIFIKRA KWANZA! Vingine vyote ni KUKIMBIZA UPEPO! Hatuwezi KUWEKEZA MTAJI MKUBWA HUKO! Mtaji mkubwa uwe katika KUKOMBOA FIKRA ZETU, na si physical materials!

Ubunifu utaongezeka,
Uzalendo utakua,
Utaifa utathaminiwa(sisi/kwetu/chetu kwanza)

Adui yetu mkubwa ni Utumwa wa Fikra unaochochea Uvivu wa Kufikiri, hapo ndipo tunapotakiwa KUWEKEZA KWA KIASI KIKUBWA!
Kila mwanasiasa leo anajinadi kuwa ataboresha labda mashule, hospitali, viwanda, miundombinu, kilimo, n.k lakini HAWAGUSII WALA KUHANGAIKIA FIKRA ZETU! Je, zitapokeaje hayo mashule na hospitali? Leo, wanafunzi wanaenda shule kwa malengo ya ktafuta wapenzi, walimu wanafikiria mshahara tu, wauguzi wanawaza wataibaje dawa, mkandarasi anawaza kuchakachua mifuko ya cement, mkufunzi chuo anawaza kupata ngono kwa wanafunzi, n.k bado tu HAMUAMKI!?

Namlilia Nyerere, na sitaacha!

FIKRA zetu zikiwa bora, basi automatically Viwanda, Kilimo, Afya, Elimu, barabara, n.k. vitakuwa bora!
TUSING'ANG'ANIE KUFIKA TATU PASI 1 na 2...ni BUREE!

Mungu wetu yu tayari kutushindia vitani. Anaita sasa!
 
JingalaFalsafa,

Upo sahihi, na kwa kuongezea, tatizo lingine kubwa ni kwamba wakati wenzetu wana practice innovation in the context of Economic Entrepreneurship and Technology Entreprenuership, watanzania wengi wapo kwenye SocioPolitical Entrepreneurship, huku wachache, hasa mafisadi wakiwa ni mabepari uchwara ambao kazi yao ni kuwa mawakala wa wakubwa wa nje kunyonya taifa letu kwa kuwekewa mamilioni ya dollar kwenye makenki nje ya nchi;
 
Last edited by a moderator:
Bongolander,
I can't agree with you more. Adui mkubwa wa kwanza katika kupiga hatua ni sisi wenyewe. Tangu Uhuru hatujaweza kuchukua hatua za makusudi kukabiliana na matatizo yetu. Mathalan, inakuwaje miaka 50 sasa hakuna kiongozi aliyewahi kuwa 'bold' kwamba tu-balance bajeti yetu? Hata kama ni kwa austerity measures we must try.
By the way wananchi wanaishi katika austerity measures kila siku!

Ukitazama bajeti na miradi au mipango ya maendeleo haviwiani kabisa. Kwanini daraja moja lipangiwe fedha za matumizi kwa bajeti 3 mfulululizo, in other words it's all abaout embezzlement!

Turudi katika upoteaji wa fedha, ni nani amewahi kuwajibishwa zaidi ya kusikia tu taarifa ya CAG

Mchambuzi, tukiangalia external factors nakubaliana sana nawe kuwa nchi za Afrika pamoja na kulalamikia vyombo kama WTO, IMF, WB bado hazijaungana kikamilifu. Ukiacha mawaziri uliosema walikutana mwaka 2000, kwasasa hatuna watu wa aina ya akina Nyerere ambao waliweza kusimama kidete na kutetea unfair trade.

Japo basi akina Nyerere waliliangalia jambo hili kwa mtazamo wa south south commission. Je baada yao nani tena?

Nilifuatilia UNGA 2012. Katika nchi zote kutoka south kila mmoja aliongelea nchi yake. Waziri wetu akimwakilisha Rais aliongea Mkukuta, elimu na Ukimwi, vivyo hivyo kwa kwa wengine. Hakuna common ground katika kukabilaina na trade imbalances ambayo inaathiri sana nchi zetu na kama ulivyosema ni kungo muhimu cha maendeleo.

Zakumi, Nikubaliane nawe kuwa tunahitaji ku-modernize Agriculture kutoka tuliyo nayo kwenda Agrotech.

Hili lina maana moja kubwa, kwamba tutakuwa self sufficient nakuwa na commercial surplus. Kwa hali ya sasa duniani hasa kwa kuzingatia mabadiliko ya hali ya hewa hii ni missed opportunity ya sisi kuwa supplier within our region and perhaps the world at large

Lakini pia inatupaswa tukumbuke kuwa modern agric ya kutumia machine haipunguzi ajira bali kuongeza. Hapa ndipo nakubaliana pia na mchambuzi. Mfano, Marekani na nchi kama Canada wanatumia machines lakini hiyo haijazuia sekta ya kilimo kuajiri. Ingelikuwa Wamarekani wazawa wanapenda kujishughulisha na kilimo basi hata Unemployment isingekuwa hapo ilipo.Kazi hiyo wamewaachi Wamexco.In fact it is a big industry south border. Ukiangalia remittance ya Wamexco utaweza kukubalina nami. Hata marekani bado reseach na vitu vinavyoambatana na kilimo vinatoa ajira nzuri tu.

Niseme kuwa matumizi ya machine yanahitaji human input kwa namna yoyote iwavyo. Kuna limitation na hapo ndipo manpower inapohitajika kuanzia research, planners, operators of machine, suppliers wa vitu kama fertilizers na shughuli zote za kijamii na kiuchumi zitokanazo. Nadhani kuwa, bado katika nchi yetu tunahitaji kilimo kama sehemu ya kupunguza tatizo la ajira, iwe kama tulivyo au kwa kutumia machines.


Nguruvi,
Whenever you engage in any venture, there’s a price to be paid, and the use of machinery and advance technologies in agriculture isn’t exceptional. It has its own price tag which usually entails the reduction of manpower. So if we decide to embrace modernity in agriculture, we should know that farming will be a thing of the past for many people.

I am not making this up. It’s written. However, if we play our cards right, this isn’t something we should worry. For, if the modernity increases the productivity and the throughput, the surplus of agriculture produce could be effectively used to stimulate other economic activities which will in turn create jobs.

Take for example this. Today, the average salary of civil servants can’t buy enough food to feed a family of one or two for one month. Now, suppose we manage to do two things at once: cut the production costs and increase the production of food. You know for sure, families will spend less on food, and have extra cash for other activities.

What will you do if you have extra cash? Probably you will build a new house, buy new furniture, open a saving account or visit a tourist destination such as Serengeti. Simply put, your spending will create an array of new opportunities for many Tanzanians.

Now concerning the World Bank, IMF, and other international organizations or treaties, Tanzania needs to reexamine her roles. We usually talk, but we don’t have something to bring to the table. It’s ok to lament the policies of the World Bank, but it’s entirely different when you can’t take advantage of the world market.
 
I am not making this up. It's written. However, if we play our cards right, this isn't something we should worry. For, if the modernity increases the productivity and the throughput, the surplus of agriculture produce could be effectively used to stimulate other economic activities which will in turn create jobs.
I hope by this you mean increase in agricultural productivity would provide us with surplus to expand other sectors of the economy, especially the modern sector and in this context, attention is particularly paid on manufacturing;

It's ok to lament the policies of the World Bank, but it's entirely different when you can't take advantage of the world market.

I am sure the worldbank would love to hear this, but the fact that the state isnt given its role by the institutions, hakuna cha advantage wala opportunities ambazo tutaweza ku reap from the market; bila serikali kuchukua a leading role where soko always fail, hata nchi tajiri zisingekuwa zilipo leo; but kwetu, hawataki tufanye the same.....
 
Zakumi,
Ujio wa teknoloji hasa ya computer uliwatia watu wasi wasi sana. Ilitarajiwa kuwa ajira zitapungua. Kinyume chake ajira zimeongezeka. Fikiria nchi kama India ilivyoweza kuikubali tech ya mawasiliano na habari. Mamilioni ya Wahindi wanaishi maisha mazuri tu. Fikiria ajira za makampuni ya Silcon Valley n.k

Teknolojia inarahisha utendaji, mawasiliano na kuongeza ufanisi (efficient).
Huko nyuma ilibidi mtu apigwe X-ray ya kichwa kubaini tatizo la jino, siku hizi ni jino lenye tatizo ndilo litakalofyonza mionzi. Wakati huo huo wataalam wanaweza kuwasiliana kuhusu tatizo kwa kutumia teknolojia.

Hayo yakitokea teknolojia inaathiri watu wa kuyafanikisha. Kuna Engineers, programmers, software experts hadi kufikia mfagizi. Hii maana yake ni kuwa kumekuwa na improvement ya service kwa kuto-expose wagonjwa katika unnecessary radiation, upatikanaji wa majibu kwa usahihi na haraka na mawasiliano ya kutafuta ufumbuzi hara zaidi.
Mtiririko wote huo unamgusa watu wengi kwa namna moja au nyingine.

Ndivyo itakuwa pia katika kilimo. Huwezi kuwa na combine harvester ika operate yenyewe. Kitakachopungua ni idadi ya watu shambani lakini kutakuwa na ongezeko katika nafasi nyingine. Kwa maneno mengine manpower ita shift kutoka katika kunyanyua jembe kwa mkono.Wakati huo huo huduma za jamii zinazoambatana na ujio wa teknoloji zitaongezeka.

Leo hii marekani inahitaji wafanyakazi milioni 3 wakati huo huo kiwango cha ukosefu wa ajira ni 7.9. Wanaohitajika ni watu wenye utaalam katika fani mbali mbali. Ukiangalia utaweza kudhani kuwa tatizo la ajira ni kubwa kwa kila mtu, ukweli ni kuwa tatizo ni kubwa kwa kada isiyo na utaalamu.

Hapa kwetu tunazalisha wataalam ambao hatuwatumii na ambao ndio jeshi tunaloogopa.
Ujio wa teknoloji ya kilimo utafyonza kada kubwa ya wasio na ajira lakini wenye utaalamu.
Jiulize wahitimu wa SUA wanakwenda wapi?
Elewa pia kuwa si kilimo tu bali sehehmu nyingine zitaathirika (positive) kutokana na hilo(spill over effects)

Lakini pia fikiria kuwa kama kuna efficiency katika kilimo na kupelekea kupungua kwa gharama za uzalisahaji pamoja na bei za bidhaa huoni kuwa hilo litasaidia sana katika kuinua maisha. Maana yake ni kuwa watu watakuwa na uwezo wa kufanya mambo mengine kama ulivyosema na hayo yote yatamgusa kila mmoja hata kama hayupo shambani.

Hoja yangu ni kuwa teknoloji inarahisha na kuharakaisha mambo. Tofauti na inavyodhaniwa, teknolojia inatengeneza ajira na si kupunguza. Inategemea tutaiangalia vipi, ninachojua ni kuwa kuna spill over effect ambayo ni ngumu kuiona haraka haraka.
 
Hoja yangu ni kuwa teknoloji inarahisha na kuharakaisha mambo. Tofauti na inavyodhaniwa, teknolojia inatengeneza ajira na si kupunguza. Inategemea tutaiangalia vipi, ninachojua ni kuwa kuna spill over effect ambayo ni ngumu kuiona haraka haraka.

Nakubaliana na hoja zako zote za msingi kwenye bandiko namba 106 ila nimeona nimege hilo hapo juu na kulitolea maoni kidogo;

You are right, Technology is suppoed kuongeza ajira lakini kama pia kutakuwa na sera zinazosaidia diffusion ya hiyo technology from the FDIs n.k ili kuleta hiyo spill over effects, kwani kwa kufanya hivyo, tutaweza kujenga technological capabilities miongoni mwa wananchi, and in the process, watanzania watakuwa na skills zinaendana na matakwa ya soko la ajira lakini pia wataweza kujiajiri wenyewe somewhere in the value chains ya sekta husika na kuwa suppliers wa products and services mbalimbali; Lakini katika mazingira ya sasa ambayo technology haiwi diffused, ajira haizaliwi that much;

Kwa maana nyingine, tunahitaji tuwe na technology know - why ili tusonge mbele, kwa sasa all we have ni just technology know- how na hii inatufunga na kutufanya tuwe tegemezi, kwani hatuwi pro active na maendeleo in the business environment, badala yake tunakuwa reactive; many emerging economies kama india na nyingine wamejenga the basic tech capabilities miongoni mwao na ndio maana sasa wapo katika nafasi kubwa sana ya kuwa pro active i.e. kuwa ahead of the market in terms of innovation, efficiency improvements etc; sisi tunasubiri india na wengine wavumbue mambo kwanza kwani wanajua not only the know-how but kitu muhimu zaid i.e. the know-why, huku sisi tunasubiria tukupata the know-how, na madhara yake ni kwamba, once the said technology becomes obsolete, you get stuck wakati wenzako wamesharukia kwingine;
 
Zakumi,
Ujio wa teknoloji hasa ya computer uliwatia watu wasi wasi sana. Ilitarajiwa kuwa ajira zitapungua. Kinyume chake ajira zimeongezeka. Fikiria nchi kama India ilivyoweza kuikubali tech ya mawasiliano na habari. Mamilioni ya Wahindi wanaishi maisha mazuri tu. Fikiria ajira za makampuni ya Silcon Valley n.k

Teknolojia inarahisha utendaji, mawasiliano na kuongeza ufanisi (efficient).
Huko nyuma ilibidi mtu apigwe X-ray ya kichwa kubaini tatizo la jino, siku hizi ni jino lenye tatizo ndilo litakalofyonza mionzi. Wakati huo huo wataalam wanaweza kuwasiliana kuhusu tatizo kwa kutumia teknolojia.

Hayo yakitokea teknolojia inaathiri watu wa kuyafanikisha. Kuna Engineers, programmers, software experts hadi kufikia mfagizi. Hii maana yake ni kuwa kumekuwa na improvement ya service kwa kuto-expose wagonjwa katika unnecessary radiation, upatikanaji wa majibu kwa usahihi na haraka na mawasiliano ya kutafuta ufumbuzi hara zaidi.
Mtiririko wote huo unamgusa watu wengi kwa namna moja au nyingine.

Ndivyo itakuwa pia katika kilimo. Huwezi kuwa na combine harvester ika operate yenyewe. Kitakachopungua ni idadi ya watu shambani lakini kutakuwa na ongezeko katika nafasi nyingine. Kwa maneno mengine manpower ita shift kutoka katika kunyanyua jembe kwa mkono.Wakati huo huo huduma za jamii zinazoambatana na ujio wa teknoloji zitaongezeka.

Leo hii marekani inahitaji wafanyakazi milioni 3 wakati huo huo kiwango cha ukosefu wa ajira ni 7.9. Wanaohitajika ni watu wenye utaalam katika fani mbali mbali. Ukiangalia utaweza kudhani kuwa tatizo la ajira ni kubwa kwa kila mtu, ukweli ni kuwa tatizo ni kubwa kwa kada isiyo na utaalamu.

Hapa kwetu tunazalisha wataalam ambao hatuwatumii na ambao ndio jeshi tunaloogopa.
Ujio wa teknoloji ya kilimo utafyonza kada kubwa ya wasio na ajira lakini wenye utaalamu.
Jiulize wahitimu wa SUA wanakwenda wapi?
Elewa pia kuwa si kilimo tu bali sehehmu nyingine zitaathirika (positive) kutokana na hilo(spill over effects)

Lakini pia fikiria kuwa kama kuna efficiency katika kilimo na kupelekea kupungua kwa gharama za uzalisahaji pamoja na bei za bidhaa huoni kuwa hilo litasaidia sana katika kuinua maisha. Maana yake ni kuwa watu watakuwa na uwezo wa kufanya mambo mengine kama ulivyosema na hayo yote yatamgusa kila mmoja hata kama hayupo shambani.

Hoja yangu ni kuwa teknoloji inarahisha na kuharakaisha mambo. Tofauti na inavyodhaniwa, teknolojia inatengeneza ajira na si kupunguza. Inategemea tutaiangalia vipi, ninachojua ni kuwa kuna spill over effect ambayo ni ngumu kuiona haraka haraka.

Nguruvi,

What you have described here is a sort of creative destruction which enables people to take advantage of the new technology and better themselves without too much social upheavals. This is not a new phenomena for it has existed since the dawn of civilization. If you recall, in one of my posts I have explained it using a pre-historical example. There I mentioned that the stone age didn't disappear because there was shortage of stones. Rather, it disappeared because people invented better tools utilizing bronze material.

So as you see sir, I understand the creative and destructive forces around us. I am for the use of technology and advance methods in agriculture not because somebody is going to drive a combine harvester, but because the current productivity can't sustain the food consumption of our population. In addition, there's a market for our products, internally and externally.

Now concerning the employment in agriculture sector, I believe we will be the first nation on the planet earth to cut massive unemployment while modernizing the sector. For, the use of technology and advance methods in agriculture isn't going to create new lines of jobs the way computer technology does. It's going to replace what people have been doing manually for centuries. For example, one driver of the combine harvester is going to replace a work force of two hundred uneducated peasants.

Please tell me what are you going to do with these people. Do you think, they will be ready to learn and apply new skills? Again, let me be very clear. I am for the modernization. However, we shouldn't be one dimensional. If we want to cut youth unemployment, we should approach the problem from all directions. For example, school should prepare students with skills to adapt changes.

Z10
 
Bomu la Lowassa limeingia bungeni, na kwa mujibu wa John Mnyika, limeshaanza kulipuka taratibu. Je katika hali ya sasa, serikali ya CCM inategemea kwa mujibu wa hoja binafsi ya Dr. Kigwangala au kuna mikakati mingine ambayo hatuifahamu inayolenga kutegua bomu hili? Na je, iwapo ni kweli tayari limeanza kulipuka taratibu (per hoja ya JJ Mnyika), je mkakati wa kulitegua bomu ambalo limeshaanza lipuka taratibu inatakiwa uwe sawa na mkakati wa kutegua bomu ambalo limegundulika lakini bado lipo intact (halijalipuka)?

Kwa hoja za CCM, binafsi naona kwamba sera ya CCM ni kutatua tatizo la ajira kwa vijana kama tatizo la kisiasa, huku chadema (kwa hoja za Lissu na Mnyika) bungeni katika mjadala wa hoja binafsi ya HK bungeni, wao wanaegemea zaidi katika kulitatua tatizo la ajira kama tatizo la kiuchumi. Kwa maana nyingine, kinacho onekana ni kwamba, kwa approach ya CCM, tatizo la ajira ni tatizo la kisiasa linalohitaji ufumbuzi wa kisiasa haraka iwezekanavyo huku Chadema wabunge wake wakionyesha kwamba ni tatizo la kiuchumi linalohitaji ufumbuzi unaoendana na usimamizi mzuri wa masuala la uchumi. Lakini hii si ajabu kwasababu miaka nenda miaka rudi, CCM ni experts in defying economics and glorifying politics, but little do they know that by doing so, they party is playing with gravity;
 
Enzi zetu Division Zero ilikuwa scandalous.

Siku hizi a whopping 26% wanapata division zero?

Is this for real?
 
Tuna serikali ya ajabu sana. Lowassa alipokuja na hoja kuhusu timing bomb kuhusiana na ukosefu wa ajira kwa vijana, Waziri wa ajira alipinga sana hoja hii mbele ya vyombo vya habari; Leo hii Dr. HK amekuja na hoja yake binafsi ambayo literally inalenga kutegua bomu lile lile alilojadili Lowassa na kupingwa na Waziri husika, lakini leo wabunge wa CCM wana hamasa kubwa sana ya kuunga mkono hoja ya HK huku mtazamo wao ukitawaliwa na fikra na shauku za kutatua tatizo la ajira kama tatizo la kisiasa linalowakabili, na sio tatizo la kiuchumi linalokabili wananchi. Ndio maana katika mazingira kama haya, hoja zenye mashiko kama za Tundu Lissu na John Mnyika, wabunge wengi wa CCM wataona hazina maana.

Simtetei Lowassa kwani sina sababu ya kufanya hivyo, bali nahoji Serikali yangu legelege ya CCM - Kifikra, matendo na mamuzi;
 
Tuna serikali ya ajabu sana. Lowassa alipokuja na hoja kuhusu timing bomb kuhusiana na ukosefu wa ajira kwa vijana, Waziri wa ajira alipinga sana hoja hii mbele ya vyombo vya habari; Leo hii Dr. HK amekuja na hoja yake binafsi ambayo literally inalenga kutegua bomu lile lile alilojadili Lowassa na kupingwa na Waziri husika, lakini leo wabunge wa CCM wana hamasa kubwa sana ya kuunga mkono hoja ya HK huku mtazamo wao ukitawaliwa na fikra na shauku za kutatua tatizo la ajira kama tatizo la kisiasa linalowakabili, na sio tatizo la kiuchumi linalokabili wananchi. Ndio maana katika mazingira kama haya, hoja zenye mashiko kama za Tundu Lissu na John Mnyika, wabunge wengi wa CCM wataona hazina maana.

Simtetei Lowassa kwani sina sababu ya kufanya hivyo, bali nahoji Serikali yangu legelege ya CCM - Kifikra, matendo na mamuzi;

Mchambuzi;

Tatizo kubwa ni kuwa wanasiasa wengi wa Tanzania akiwemo mh. Lowassa wameingia kwenye siasa kutafuta ulaji. Siasa ingekuwa ni public service labda wanasiasa wangejua kuwa kazi yao ni kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya jamii.
 
Mchambuzi;

Tatizo kubwa ni kuwa wanasiasa wengi wa Tanzania akiwemo mh. Lowassa wameingia kwenye siasa kutafuta ulaji. Siasa ingekuwa ni public service labda wanasiasa wangejua kuwa kazi yao ni kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya jamii.

To many, even in the opposition, Politics is not a public service; politics is a political dynasty;
 
Tuna serikali ya ajabu sana. Lowassa alipokuja na hoja kuhusu timing bomb kuhusiana na ukosefu wa ajira kwa vijana, Waziri wa ajira alipinga sana hoja hii mbele ya vyombo vya habari; Leo hii Dr. HK amekuja na hoja yake binafsi ambayo literally inalenga kutegua bomu lile lile alilojadili Lowassa na kupingwa na Waziri husika, lakini leo wabunge wa CCM wana hamasa kubwa sana ya kuunga mkono hoja ya HK huku mtazamo wao ukitawaliwa na fikra na shauku za kutatua tatizo la ajira kama tatizo la kisiasa linalowakabili, na sio tatizo la kiuchumi linalokabili wananchi. Ndio maana katika mazingira kama haya, hoja zenye mashiko kama za Tundu Lissu na John Mnyika, wabunge wengi wa CCM wataona hazina maana.

Simtetei Lowassa kwani sina sababu ya kufanya hivyo, bali nahoji Serikali yangu legelege ya CCM - Kifikra, matendo na mamuzi;

Kamanda, kuna haja, tena haja kubwa ya kupima akili wabunge wote wa ccm, na inawezekana kabisa, ukiwa mbunge wa ccm na akili unaacha nyumbani
 
Kwa wale ambao tulikuwa pamoja kujadili mada hii - takwimu za matokeo ya kidato cha nne zina tofauti gani kubwa na takwimu tulizojadili humu (rejea bandio namba moja hapo juu) za miaka kumi mfululizo i.e. 2000 - 2010 ? Majority ya division four za kila mwaka ni zile ambazo hazina utofauti wa msingi na division Zero; Kwanini ndio tuamke leo kama vile we didnt see this coming? Na je ni kweli tumeamka au we are just sleep walking na yatapita kama upepo?
 
Back
Top Bottom