Ketamine
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 824
- 788
kuna thread humu inaonyesha kuwa chuo hiki kilitakiwa kufungwa mpaka kifikie kiwango...haya nayo ni majungu??
amini nakwambia hilo la juzi ni dogo lakini yawezekana kuna mengi mabaya pale sasa kama tutaweka masikio nta basi likitokea jingine tusiamshane na kelele za picha katika watsapp
Mmmh wewe una lako sio bure?