Bomu la IMTU limeshalipuka, bado la UDOM!

Bomu la IMTU limeshalipuka, bado la UDOM!

Katika siku ambayo MAT chama cha madaktari Tanzania nimeona vichaa ni jana badala ya kushauri maboresho wanashauri chuo kufungwa ni hawahawa kila siku wanalalamika ni wachache je kila taasisi ikikosea ifungwe?kama ndivyo mbona Muhimbili walikata mguu badala ya upasuaji wa kichwa and that is a dangerous Doctor can do je warishauri Muhimbili ifungwe?waje hapa wajibu.
 
meningitis kweli ubongo wako una mushkhel. Viungo vile vya binadamu viliogopesha, lakini nadhani ni kosa lenye heri ili kuonyesha jamii na viongozi watoa maamuzi ugumu wa kozi ya tiba. Makosa yale ni ya kiutawala zaidi,si taaluma. Tunao madaktari waliohitimu kwenye hicho chuo IMTU mtaani, wako vizuri. Mleta mada unalo lako lingine kuhusu kuanzishwa kwa vyuo vingine vya tiba za binadamu zaidi ya MUHAS. Nime-google meningitis mhhhh!!
 
Last edited by a moderator:
Bado chuo kingine cha waislamh morogoro sijui hata kama kina prospectus..yaaani ratiba za mitihani zinatangazwa msikitini
 
Acha kujitoa fahamu mkuu, kweli ungemaanisha kuelezea tofauti objectively hu uzi ungekuwa wa nature hii???!!!!

Kwamba tunaokupinga hatujui tofauti zilizopo???!!!
Despising, stigma, conservatism and mockery is what watu hatutaki!!!!

Kama ni differences weka data tujadili objectively nini kinapungua wapi, kwa nini, wanafanyaje kukabili hiyo hali ili tupate way forward sio kejeli na kuwakatisha tamaa!!!!!

Hivi unajua hata MUHAS ilikuwa MUCHS????!!!!

Kijana unanambia/kunijuza kuhusu MUCHS??ha ha ha!!!
 
Ukweli ni kuwa IMTU ni chuo cha ubabaishaji mwingi mno, hata product zake ninamashaka nazo, na hata walimu makini wamekua wakikimbia baada ya muda fulani, siongei kwa ushabiki ila, ni ukweli usiopingika kuwa kinahitaji kufungwa kwa muda fulani ili wajirekenishe na waombe kusajiliwa upya!
 
UDOM ni majanga matupu, na ajira wanapeana kwa kujuana na Udini pia

Hili la udini limefuatiliwa na hakuna ushahidi.
Kama unao weka tuanzie hapo!!!!!
Chora jedwali,weka principles, deans, HoD na kadhalika.
Nenda kwa Administrators nao panga utakavyo!! Chukua wanasheria panga utakavyo pia!!!
Hamia Accounts weka tables zako!!!

Ikithibitika basi hoja yako itakuwa kweli sana!!!!
 
Kijana unanambia/kunijuza kuhusu MUCHS??ha ha ha!!!

Unacheka??!!!
Unaita watu vijana unawajua humu??!!!

We sikiliza mkuu humu kumejaa watu wa aina tofauti sana acha bragging zako!!!!!

Hivyo vyuo watu ndio mishe zao kila uchao we mpita njia utasema nini bhana!!!!!
 
Bado chuo kingine cha waislamh morogoro sijui hata kama kina prospectus..yaaani ratiba za mitihani zinatangazwa msikitini

Hili liko juu ya uwezo wako we kabishanie Israel na.Palestina, mabomu Arusha, Yesu na mtume ndio mambo yako. Au la matusi na yafananayo ndio level zako!!!!
 
Ukweli ni kuwa IMTU ni chuo cha ubabaishaji mwingi mno, hata product zake ninamashaka nazo, na hata walimu makini wamuekua wakikimbia baada ya muda fulani, siongei kwa ushabiki ila, ni ukweli usiopingika kuwa kinahitaji kufungwa kwa muda fulani ili wajirekenishe na waombe kusajiliwa upya!

Unataka kutuaminisha vyuo vyote walimu hawahami,private walimu wanahama sana kutafuta maslahi mtu anaweza hama Bugando akaenda huko Imtu au kinyume chake so hiyo sio sababu,suala la kufunga chuo pia sio solution na sijui unamaanisha kufunga au kufuta chuo,kama ni kufunga kufungua huitaji kusajili upya,na kufuta chuo huwezi kufuta chuo chenye president chartar,isitoshe report za hivi karibuni zinaonyesha marekebisho makubwa 2009 na 2011 yanaridhisha vya kutosha hasa hizo maabara zenye vifaa vya kisasa histology na huko cardavar room na zingine,makosa taasisi nyingi zinafanya hazifungwi wao Muhimbili walivyokata miguu badala ya kichwa walifungiwa?
 
Unacheka??!!!
Unaita watu vijana unawajua humu??!!!

We sikiliza mkuu humu kumejaa watu wa aina tofauti sana acha bragging zako!!!!!

Hivyo vyuo watu ndio mishe zao kila uchao we mpita njia utasema nini bhana!!!!!

mimi naijua Faculty of medicine ya UDSM sio MUCHS
 
Juzijuzi tuu hapa si kulikuwa na skendo ya viungo vya binadamu kuokotwa jalalani kwenye hiyo hostipal ya MUHAS mbona sijasikia hatua yoyote
 
Akili zenu bado changa wote nyie mnao shindanisha vyuo, nadhani kama sio first years au second years basi ndo form six maana mngekuwa na kazi au biashara zenu msinge kaa kuzozana kuhusu hayo mambo.
 
Point yako ikiwa nini???!!!
Vyuo vyote vina graduates wa miaka hiyo kuanzia tutors mpaka madaktari!!!

Point yake mbona ipo wazi unashindwaje kuielewa? Anamaanisha kama walimu wake ni wa 2000s hakuna senior staff wa kutosha.
 
Naona unachanganya mada hapa, hiyo issue ya mguu haikua MUHAS ila MNH,,waliofanya hivyo waliadhibiwa ikiwa ni pamoja na kusimamishwa kutibu kipindi kile!
Nacho kisema nakifahamu, unafahamu Prof.Fabian kilichomtoa kwenda UDOM? Ni kutokana na ----- unaoendelea hapo, nazungumzia kufungwa kwa muda na marekebisho yafanyike, i understand kunachangamoto ktk uanzishwaji wa chuo lakini hiki mlicho kifanya cha kutupa miili IMTU hakijadiliki na sio cha kibinadamu, haijawahi kutokea duniani, hakika mmeandika historia ya ajabu, vitendo vya wanafunzi kutoka cadaver room na viungo ni kiashiria tosha kuwa kuna shida, na shida kubwa ktk admistration!
 
Udaktari ni kama ufundi bomba,mtoto wa fundi bomba atafundishwa ufundi bomba na baba yake mpaka pale baba yake atakapofariki ndipo mtoto huyu kipindi hiki akiwa kijana ataanza kuifanya vizuri kiasi kazi ya ufundi bomba na hatimaye na yeye atamfundisha mwanawe.

huwezi ukamaliza MD5 halafu uende kufundisha madaktari halafu tutegemee madaktari hao wawe wazuri...never!!ukienda Muhimbili utawakuta mababu,mababa na makaka kwa ujumla wao ndio wanwafundisha madaktari...hii ni sawasawa na uingereza,marekani na maeneo mengine wanaojitambua na sio IMTU au UDOM au Agha khan ya bongo au kwa sasa IFAKARA.

Endelea kubisha ila mtaendelea kuumbuka

Wewe bwana nina mashaka na udaktar wako. Nimesoma MUCHS ya kipindi hicho na kulikuwa na waalimu vijana wanatufundisha. Sasa unapoongea uongo hapa nashindwa kuelewa nia yako hasa ni nini?
 
udini at work! wachache sana na wenye akili ndo watanielewa
 
Lidocaine! Wewe unaonekana hujui hata tofauti ya MUHAS Muhimbili University of Health and allied sciences na MNH Muhimbili nationa Hospital, nikutoe tu tongotongo kuwa MUHAS haina hospital ila inatumia MNH kwa kuwa na memorandum of understanding!
Km hufahamu kitu uliza
 
Back
Top Bottom