ngorope
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,112
- 243
Editors are ment for that, internationally!!!!!
Na.kama alimaanisha "I/ he had two applications to submit for certain purposes???!!!!" kwa nini tukuamini wewe with your mere words???!
Wengine positivist humu kama huna experiment, test, what you are "expalining" is not observable why tukuamini haya uyasemayo???!!!
Nawe unadai ni msomi????!!!
Nilitoa hoja kwa jinsi alivyohitaji kufikisha ujumbe kwa muktadha uliokuwepo naam wewe ndio msomi ila ukweli unabaki palepale mfumo wa kishabiki na kisiasa unaua elimu ya nchi hii mbaya zaidi wanaotuwekea mifumo hiyo mibovu watoto wao wanakwenda nje kupata elimu bora na sio bora elimu wanayowapa watoto wetu lakini kwa vile mmefundishwa kushabikia endeleeni time will tell