Bomu la IMTU limeshalipuka, bado la UDOM!

Bomu la IMTU limeshalipuka, bado la UDOM!

Mtu anaanzisha upuuzi kama huu, watu wanaunga mkono, muulize mleta mada kasoma wap ana elimu gani na anafanya nn saiz akisema ukweli, upunguwani wake tutaujua.

Mada na kichwa na habari havina uhusiano, pili nahs ni std 7 leaver kanunua tecno T311 anajifunza kutumia Jf.
 
Mtu anaanzisha upuuzi kama huu, watu wanaunga mkono, muulize mleta mada kasoma wap ana elimu gani na anafanya nn saiz akisema ukweli, upunguwani wake tutaujua.

Mada na kichwa na habari havina uhusiano, pili nahs ni std 7 leaver kanunua tecno T311 anajifunza kutumia Jf.


True bro
 
Mtu anaanzisha upuuzi kama huu, watu wanaunga mkono, muulize mleta mada kasoma wap ana elimu gani na anafanya nn saiz akisema ukweli, upunguwani wake tutaujua.

Mada na kichwa na habari havina uhusiano, pili nahs ni std 7 leaver kanunua tecno T311 anajifunza kutumia Jf.
Dhihaka hizi haziondoi ukweli uliopo!
 
Dhihaka hizi haziondoi ukweli uliopo!

Ukweli gani ambao ww unauona apo jamaa ebu tueleze ww mwenyewe una elim gan umesomea wap na unafanya kaz gan au ndo walele UD bora na mwaka wa nne mtaani hadi vocha kwa mama???
 
Mi naona huko ni kukariri tu sio eti kwakuwa Ud ilianza na jengo moja na course moja eti kila chuo lazima kianze hivyo! kipindi hicho taifa lilikuwa ndo km linazaliwa na wasomi hawakuwepo kabisa! suala la kuwa na malecturer vibabu nalo halina mantiki sio kila anayeitwa dr au profesor lazima awe mzee hizo ni akili za kijima! mi namsifu sana JK kwa kuanzisha chuo kipya kuliko wale waliokuwa na akili mbovu za kubadilisha sekondary na vyuo vya kati kuwa vyuo vikuu mf: mkwawa na chang'ombe! naamin baada ya miaka kama kumi Udom watakuwa mbali sana kielimu kwani hata mtoto huanza kutambaa na mwisho hukimbia! mpangilio wa chuo ulivyo kwasasa ni wa kimataifa na hiyo ni mojawapo ya heshima ya chuo kikuu
 
Mi naona huko ni kukariri tu sio eti kwakuwa Ud ilianza na jengo moja na course moja eti kila chuo lazima kianze hivyo! kipindi hicho taifa lilikuwa ndo km linazaliwa na wasomi hawakuwepo kabisa! suala la kuwa na malecturer vibabu nalo halina mantiki sio kila anayeitwa dr au profesor lazima awe mzee hizo ni akili za kijima! mi namsifu sana JK kwa kuanzisha chuo kipya kuliko wale waliokuwa na akili mbovu za kubadilisha sekondary na vyuo vya kati kuwa vyuo vikuu mf: mkwawa na chang'ombe! naamin baada ya miaka kama kumi Udom watakuwa mbali sana kielimu kwani hata mtoto huanza kutambaa na mwisho hukimbia! mpangilio wa chuo ulivyo kwasasa ni wa kimataifa na hiyo ni mojawapo ya heshima ya chuo kikuu
hii ni imani yako inayofanana na watawala mamburula!
 
mkuu watu wanatuona tuna nyodo kumbe tinawaambia ukweli!

Mkuu nakuona bado unashupaza shingo tu hakuna point yoyote unayozungumza, uzi wako umefikia page ya 15, Jitahidi kuongeza bidii,..
 
mkuu watu wanatuona tuna nyodo kumbe tinawaambia ukweli!

ukweli utabakia kuwa ukweli elimu yetu inaporomoka siku hadi siku majuzi nilikuwa kwenye kikao msomi mwenye
masters akasema "I have two application" akimaanisha "two request" sasa kama huyu ni mwalimu tutarajie wahitimu wa aina gani toka kwake?
 
ukweli utabakia kuwa ukweli elimu yetu inaporomoka siku hadi siku majuzi nilikuwa kwenye kikao msomi mwenye
masters akasema "I have two application" akimaanisha "two request" sasa kama huyu ni mwalimu tutarajie wahitimu wa aina gani toka kwake?


Editors are ment for that, internationally!!!!!

Na.kama alimaanisha "I/ he had two applications to submit for certain purposes???!!!!" kwa nini tukuamini wewe with your mere words???!
Wengine positivist humu kama huna experiment, test, what you are "expalining" is not observable why tukuamini haya uyasemayo???!!!

Nawe unadai ni msomi????!!!
 
Back
Top Bottom