OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
mkuu watu wanatuona tuna nyodo kumbe tinawaambia ukweli!
Ukweli upi "valid" au "reliable" ????!!!!!!
mkuu watu wanatuona tuna nyodo kumbe tinawaambia ukweli!
Valid and reliable!Ukweli upi "valid" au "reliable" ????!!!!!!
hii ni imani yako inayofanana na watawala mamburula!
Valid and reliable!
mkuu meningitis nimefuatilia thread yako from begining mpaka mwisho, you are a great thinker.
nimekuja kugundua wanaoupinga ukweli unaoongea ni wale wale waliotoka vyuo vya kata, na ukweli unaoongea hawawezi kukubaliana nao, its common sense kwamba hawawezi discredit vyuo walivyosoma coz wataonekana vilaza ila ukweli wanaujua kimya kimya.
muhas will still and always stand the best..
mkuu meningitis nimefuatilia thread yako from begining mpaka mwisho, you are a great thinker.
nimekuja kugundua wanaoupinga ukweli unaoongea ni wale wale waliotoka vyuo vya kata, na ukweli unaoongea hawawezi kukubaliana nao, its common sense kwamba hawawezi discredit vyuo walivyosoma coz wataonekana vilaza ila ukweli wanaujua kimya kimya.
muhas will still and always stand the best..
mkuu meningitis nimefuatilia thread yako from begining mpaka mwisho, you are a great thinker.
nimekuja kugundua wanaoupinga ukweli unaoongea ni wale wale waliotoka vyuo vya kata, na ukweli unaoongea hawawezi kukubaliana nao, its common sense kwamba hawawezi discredit vyuo walivyosoma coz wataonekana vilaza ila ukweli wanaujua kimya kimya.
muhas will still and always stand the best..
Good, thibitisha tu sasa ili tufunge mjadala mkuu meningitis
mkuu athibitishe nini wakati hana hata idea ya anachokizungumza?
aliyekwambia walimu wote wa m/s watakuwa na shahada ninani? .
halafu walipata u-tutorial assisstant wa kimagumash then Masters za kishkaj
aliyekwambia walimu wote wa m/s watakuwa na shahada ninani? .
Ni kawaida ya mtanzania kujidai anaweza na kujua kila kitu!mkuu meningitis nimefuatilia thread yako from begining mpaka mwisho, you are a great thinker.
nimekuja kugundua wanaoupinga ukweli unaoongea ni wale wale waliotoka vyuo vya kata, na ukweli unaoongea hawawezi kukubaliana nao, its common sense kwamba hawawezi discredit vyuo walivyosoma coz wataonekana vilaza ila ukweli wanaujua kimya kimya.
muhas will still and always stand the best..
Mkuu huu sio mjadala wa kipima joto,we are here to stay..mjadala ndio umefunguliwa rasmi!Good, thibitisha tu sasa ili tufunge mjadala mkuu meningitis
Mkuu huu sio mjadala wa kipima joto,we are here to stay..mjadala ndio umefunguliwa rasmi!
This Thread Is No Longer Valid,.
Mods Please Remove It.
hivi analysti ni wewe uliyepost uzi huu...https://www.jamiiforums.com/habari-...-council-yaagiza-imtu-kifungwe-mara-moja.html ? na ukasema maneno haya...Pamoja na makosa madogo madogo ya kiuandishi. Unapoint kijana, kimsingi mpaka hivi sasa hakuna chuo kinachotoa madaktari bora zaidi ya Bugando hapa Tanzania.Hii ni kuanzia undergraduate mpaka post graduate.
MUHAS wamebaki na jina tu. Waalimu wako bize na vijiwe mjini hawana muda wa kutosha kutoa mentorship kwa vijana. Kutwa wapo TUMAINI, HINDUMANDAL, AGAKHAN NA VIJIWE VINGINE. Vijana unawakuta wanarandarand mawodini bila usimqmizi na muongozo wa kutosha. Waalimu ni arrogant kam MENINGITIS alivyo arrogant. Wanajisifia tu..utasikia i am the only so and so in TANZANIA, Sasa unakuwa proud kuwa peke yako? akimaanisha kuw a ni intelligent zaidi wakati tunawajua wameanzia diploma...na kwa pespective ya MENINGITIS kuanzia diploma ni UKILAZA.
Huu ni wakati MUHAS kupokea changamoto kutoka vyuo vingine positively na kujifanyia self evaluation na kuchukua hatu madhubuti.
Ukija kwenye usimamizi katika research dissertations kwa wanafunzi wa postgraduates ni worse. Waalimu hawanamuda wa kusoma dissertion ya mwanafunzi. Kutwa kukimbizana n vijiwe mjini, waalimu wamejawa hofu ya kunyang'anywa vijiwe na wanafunzi wao, hivyo wanahakikish wanagraduate wakiwa na as little knowledge as possible. HIYO NDIYO MUHAS YA LEO BWA MDOGO MENINGITIS.
Ndugu meningitis nenda mahospitalini ambako madaktari intern kutoka vyuo mbalimbali wanafanya internship, nenda ongea na ma MO au Residents wanaofanya nao kazi, watakuambi wanafunzi wa MUHAS wakoje hivi sasa. Acha kuongea bla bla hapa. Na bahti nzuri wote wanafanya intern katika hospitali hizo hizo chini ya wasimamizi wale walewale na wanakuwa recommended for regiatration na watu hao hao kwa ajili ya registration kwenye bodi hiyohiyo.
Sasa unaposema kuna madaktar wanasajiliwa na kupewa vyeti vya udaktari wakati hawana sifa nashindwa kuelelewa msingi wa hoja yako ni nini?. Unataka tuende mbali na kuanza kuangalia huyu daktar anaenitibu alifaulu vipi huko chuoni, kwamba nikikuta ulipata C kwenye OBGY basi hunizalishii mke wangu. Daktar jitazame, zingatia kanuni na miiko ya taaluma yako. Usipende ku create hofu kwa wananchi pasipokuwa na sababu za msingi.
Niko RWANDA Huku kuna madaktari wamesoma BUGANDO hakik they are doing wonderfull and i am proud of them as fellow TANZANIAN.
AC Patner states Medical and Dental Boards Ilifanya Ukaguzi katika vyuo vinavyotoa Fani za udaktar MD na DDS katika nchi wanachama hapo mwaka 2009. Katika Report yake Council hiyo Imeiagiza wizara ya Afya kwa kushirikiana na waziri wa Afrika Mashariki kuhakikisha chuo cha IMTU kinafungwa mpaka kitakapo meet the minimum requirements.
Sasa hawa wahindi walivyobobea kwa rushwa mpaka sasa chuo bado kinaendelea kuchakachua taaluma ya Afya, huku wakiwatoza ada vijana wetu kwa USD ambazo ni shurt ziwe deposited bank of INDIA.
Jisomee mwenyewe report hiyo hapo juu (Tanzania) section 3.1.3