Ok mkuu, wewe labda Magufuli unamuunga mkono kwa lipi?
Nasikitika kwamba kwa kila nililokuwa naunga mkono ameniangusha!
nilimchagua, nikiamini he is strong na anaweza kusimamia kweli! Hii sifa bado anayo lakini....
Pamoja na kusimamia kweli amekosa kuwa sensitive sehemu nyingi ambapo nilimtarajia awe hivyo! unapokuwa rigid kupita kiasi si nzuri nami sikupenda raisi wa hivyo!
I needed strong man, lkn awe pia sensitive at times, hili la kukosa ajira, kukosa mikopo, tetemeko Bukoba, hakuya-handle kwa kiwango stahiki!
Haya ni majanga ktk taifa, pamoja na kuwa strong bado unapaswa kuwa na huruma!
Raisi ni mtu wa juu sana, hata Mungu anataka tumuheshimu!
Tukikwama ktk kufikia malengo basi tuwe wote, tukikumbana na ugumu pia tuwe pamoja!
Tunapokuwa tunawasubirisha wananchi jambo basi tufanye proper communications na si kila sehemu kuwe ni amri!
Tanzania ya Kambarage watu walijitolea Zaidi, hasa baada ya speeches za mwalimu, lkn hakuna asiyejua kuwa kambarage alikuwa mkali mno! he was strong and very sensitive!
Kama JPM atafanya assessment na kukubali kwanza kuwa yeye ni mwanasiasa, pili huruma anatakiwa aitende na asiiseme tu mdomoni, najua atakuwa vile nilivyomtarajia! Ingawa dalili hizo hazipo very clear kwa sasa!