Bomu la Ajira litamlipukia Rais Magufuli

Bomu la Ajira litamlipukia Rais Magufuli

Tatizo la ajira la nchi zilizoendelea (marekani) sio sawa na nchi zinazoendelea...muda mwingine Tz ubinafsi pia unachangia ilo tatizo.
Tatizo la Tanzania ni uchoyo tuuu
 
mimi mwenzenu huyu "technically" nishamuulizaga amesoma shule hadi kiwango gani?

the guy is just all over the kitchen. he just writes a load of trash hata anachosimamia wengine tumeshindwa kukijua..
Hivi kuwa na elimu siku hizi mpaka uwe shabiki wa Magufuli au lowassa?
 
Huyu teknikali wala hata simuelewagi? Juzi si alikuwa anampongeza huyo anayemponda leo?

Sisi hayo tumeyapigia kelele kwa mwaka sasa ila wewe ukatunanga humu kuwa "Tunapinga kila kitu" labda kina BAK Chakaza na Salary Slip wanisaidie kukuelewa maana peke yangu nimeshindwa!
Mkuu huyu ni mtanzania "typical" wala usihangaike nae.

Wanashindwa kuelewa kuwa adui yetu mkubwa ni chama cha magamba na tunahitaji kuungana na kutumia silaha ya aina yoyote kuwaangamiza including "weapon of mass destruction".

Awe ni EL au vinginevyo cha msingi ni kuwapiga chini hawa magamba then mengine yote baadae.
 
Hili bomu mbona tokea wakat wa kikwete tunaambiwa litaripuka? Suala la ajira ni gumu sio tanzania tu bali dunia nzima hata kwenye kampeni za urais marekani lilitajwa sana tu
Nitajie mwaka ambao ulipita bila kikwete kutoa Ajira
 
Kuongoza nchi kunahitaji Uwe na focus kubwa,ujue nini kinaanza nanini kinafata na namna gani...sio unaamka unakimbiza faru,Mara nahamia dom,Mara viwanda... chyaa!
Tunaanzia wapi maana elimu yetu haifananii viwanda! Kilimo kwanza kimegeuka kilimo mwisho! BRN imejificha konagani hatujui.
kwakweli dira yetu ningumu sana kuielezea.
 
Kuongoza nchi kunahitaji Uwe na focus kubwa,ujue nini kinaanza nanini kinafata na namna gani...sio unaamka unakimbiza faru,Mara nahamia dom,Mara viwanda... chyaa!
Tunaanzia wapi maana elimu yetu haifananii viwanda! Kilimo kwanza kimegeuka kilimo mwisho! BRN imejificha konagani hatujui.
kwakweli dira yetu ningumu sana kuielezea.
0p0p0p0000
 
Hili bomu mbona tokea wakat wa kikwete tunaambiwa litaripuka? Suala la ajira ni gumu sio tanzania tu bali dunia nzima hata kwenye kampeni za urais marekani lilitajwa sana tu
Kampeni za urais Marekani unemployment asilimia7. TZ asilimia 50.

Ingelikuwa Nchi zenye watu wenye akili. Mwezi mmoja serikali ingeenda na maji
 
Huyu teknikali wala hata simuelewagi? Juzi si alikuwa anampongeza huyo anayemponda leo?

Sisi hayo tumeyapigia kelele kwa mwaka sasa ila wewe ukatunanga humu kuwa "Tunapinga kila kitu" labda kina BAK Chakaza na Salary Slip wanisaidie kukuelewa maana peke yangu nimeshindwa!
Shida yako unataka kukariri maoni ya mtu!
technically anaweza kumuunga mkono JPM lkn si kwa kila kitu!
Hii ni sehemu ambayo yeye anatofautiana na raisi wake!
Unlike vijana wengi wa cuf, chadema ambao hamkubali kuwa na mawazo tofauti na mwenyekiti na ikitokea hivyo huyo aliyekuwa na maono mbadala huitwa msaliti!
Ila kuhusu suala la ajira, kweli tunafikia pabaya!
Haipendezi kuwa waliopo kazini wanatimuliwa, walionje bado wanaendelea kusubiri, ajira binafsi wanaachisha watu!
Dr. Mpango mbona hafanani na jina lake!
 
Sure.

Shida yako unataka kukariri maoni ya mtu!
technically anaweza kumuunga mkono JPM lkn si kwa kila kitu!
Hii ni sehemu ambayo yeye anatofautiana na raisi wake!
Unlike vijana wengi wa cuf, chadema ambao hamkubali kuwa na mawazo tofauti na mwenyekiti na ikitokea hivyo huyo aliyekuwa na maono mbadala huitwa msaliti!
Ila kuhusu suala la ajira, kweli tunafikia pabaya!
Haipendezi kuwa waliopo kazini wanatimuliwa, walionje bado wanaendelea kusubiri, ajira binafsi wanaachisha watu!
Dr. Mpango mbona hafanani na jina lake!
 
Amini nakuambia Watanzania ni watu wa hovyo. Ata wakifika wasomi million 5 na wakawa hawana ajira awezi kufanya chochote juu ya watala hasa wanasiasa. Ni rahisi sana kuwa manipulated
 
Halaf msipende kulinganisha marekan na nchi zenu ambazo maisha ya wanadamu ni mabaya kuliko yale ya nzi wa dampo! Yaan watu wakizungumzia huduma za afya mbovu hapa tz utaona jitu zima linaibuka na kusema hata marekani kuna changamoto za huduma za afya! Hivi una ubongo au togwa?
 
Shida yako unataka kukariri maoni ya mtu!
technically anaweza kumuunga mkono JPM lkn si kwa kila kitu!
Hii ni sehemu ambayo yeye anatofautiana na raisi wake!
Unlike vijana wengi wa cuf, chadema ambao hamkubali kuwa na mawazo tofauti na mwenyekiti na ikitokea hivyo huyo aliyekuwa na maono mbadala huitwa msaliti!
Ila kuhusu suala la ajira, kweli tunafikia pabaya!
Haipendezi kuwa waliopo kazini wanatimuliwa, walionje bado wanaendelea kusubiri, ajira binafsi wanaachisha watu!
Dr. Mpango mbona hafanani na jina lake!
Ok mkuu, wewe labda Magufuli unamuunga mkono kwa lipi?
 
Amini nakuambia Watanzania ni watu wa hovyo. Ata wakifika wasomi million 5 na wakawa hawana ajira awezi kufanya chochote juu ya watala hasa wanasiasa. Ni rahisi sana kuwa manipulated
Unatarajia wangefanyaje?
Wanasiasa wanatuangusha sana!
sisi wananchi na wao wote tunalia kilio kimoja!
sisi hatuna ajira na kina mbowe hawana ajira!
kabla ya kibanzi cha vijana waliohitimu shule jana/juzi, Tazama UKAWA wameambiwa wasifanye kazi walizoajiriwa kwazo na wote wameufyata! hata ikifika 2020 bado nitasita kumchagua Lowasa na Mbowe maana hawawezi hata kusimamia vilivyo haki zao leo ndani ya nchi yao! hawa ukiwapa nchi ili wakamshurutishe Trump na watu aina hiyo nje ya nchi/Africa wataweza kweli!
Lissu na Lema wanaonesha ukaidi, lkn bado haitoshi ku-beep mamlaka!
wanasiasa wangeenda ktk mahakama kupeleka kesi yao ya kikatiba ningewaamini, at least wangeonesha kuwa wanaweza angalau kutumia platforms sahihi kufikia suluhisho la migogoro ya kiutawala! kwa sasa hakuna matumaini ya kuwa upinzani unauwezo wa kushika dola! (sorry nimeenda nje ya mada asilia)
 
Hivi kuna serikali duniani ambayo inafanya teuzi mwaka mzima bila kutoa Ajira?.....
Sasa wewe juzi si ulimpongeza kwa teuzi anazofanya? Umesahau mkuu? Sisi tukakuambia kuwa ondoa ondoa yake imejaa kasoro na makosa ya uonevu ukatunanga weee.. Kama Mwanakijiji ameweza kujirudi sitashangaa kwenu!!
 
Unatarajia wangefanyaje?
Wanasiasa wanatuangusha sana!
sisi wananchi na wao wote tunalia kilio kimoja!
sisi hatuna ajira na kina mbowe hawana ajira!
kabla ya kibanzi cha vijana waliohitimu shule jana/juzi, Tazama UKAWA wameambiwa wasifanye kazi walizoajiriwa kwazo na wote wameufyata! hata ikifika 2020 bado nitasita kumchagua Lowasa na Mbowe maana hawawezi hata kusimamia vilivyo haki zao leo ndani ya nchi yao! hawa ukiwapa nchi ili wakamshurutishe Trump na watu aina hiyo nje ya nchi/Africa wataweza kweli!
Lissu na Lema wanaonesha ukaidi, lkn bado haitoshi ku-beep mamlaka!
wanasiasa wangeenda ktk mahakama kupeleka kesi yao ya kikatiba ningewaamini, at least wangeonesha kuwa wanaweza angalau kutumia platforms sahihi kufikia suluhisho la migogoro ya kiutawala! kwa sasa hakuna matumaini ya kuwa upinzani unauwezo wa kushika dola! (sorry nimeenda nje ya mada asilia)
Mkuu mapinduzi yote dunian huwa yanaletwa na vijana hasa vijana wasomi, Mapenduzi ya kimfumo. Ila itachukuwa kama miaka 500 tanzania kuja kubadilika, maana vijana wengi wasomi na wasio kuwa na kazi ni rahisi sana kuwa tumikia wanasiasa.
 
Back
Top Bottom