Bomoa bomoa barabara ya Morogoro inaendelea

Bomoa bomoa barabara ya Morogoro inaendelea

kuna kujenga tena hapo kweli kwa usawa huu wa uncle magu
 
"Ukitaka umasikini, jaribu kujenga mita 200 toka barabara ilipo, wasipokuja mwaka 2015, hakika 2025 uatawaona".

Kwa sheria za nchi yetu, maamuzi ya viongozi wetu, karibu na barabarani nitajenga vibanda vya biashara tu, nyumba yangu ya kuishi NEHI!!
 
Kwani lile pingamizi lililowekwa mahakamani limefikia wapi?
 
Back
Top Bottom