Hii bomoa bomoa haiko rasmi nilikuwepo sehemu ya tukio na nikafanikiwa kuongea na baadhi ya wahusiki na kwa majibu yao leo walikua wanatoa salam tu kwa nyumba zote zenye x na ni kama tangazo kua kuanzia leo siku yoyote watakuja kubomoa, na kwa nyumba amvazo tayari watu walishabomoa nyumba zao na kuacha baadhi ya kuta ndio wakikua wanamalizia kuibomoa, wakasema siku wakija hawataruhusu mtu kutoa kitu hata kimoja ndani hivyo watu wahame wenyewe..
Kuhusu kesi ni kweli kuna kesi mbili za malalamiko ya bomoa bomoa, Moja ikiwa ipo katika hatua za awali na nyingine ni keshi ya msingi ambayo inangoja kupangiwa siku ya kutajwa.
All in All tumuombe Mwenyezi Mungu maana ni watu wengi sana watakao athirika kwani ni mita 122 kila upande.
Sent using
Jamii Forums mobile app