Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

Kosa kubwa kabisa wanalofanya serikali ya Tanzania ni kuendesha mambo kwa kificho! Inawezekana kabisa jamaa hawahusiki lakini ni kwanini serikali haifanyi mambo kwa uwazi, inakuwa kama inafanya magendo? Hapo wanakaribisha hisia za kila aina
 
Very crazy! Definately the Saudi(s) will be released soon! Itabidi waendesha bodaboda watengenezewe ushahidi ili wafungwe otherwise serikali itaonekana haifanyi kazi. It doesnt click in mind that they were not suspects but were arrested because they happened to be on the crime scene! How many people were there? Why didnt they arrest all the people at crime scene?
 
Udini hautaisha mpaka tutakapoitoa CCM madarakani.Kinara wa udini Nchini ni M/Kiti wa CCM Dr Jakaya Kikwete.by G.Lema.
 
Very crazy! Definately the Saudi(s) will be released soon! Itabidi waendesha bodaboda watengenezewe ushahidi ili wafungwe otherwise serikali itaonekana haifanyi kazi. It doesnt click in mind that they were not suspects but were arrested because they happened to be on the crime scene! How many people were there? Why didnt they arrest all the people at crime scene?

Answers to your questions are simple:

>> Very crazy Iron, how can you arrest all the people at the crime scene?!!!!!!

>>They arrested them because they were foreigners and to make matter even worse; they were Arabs i.e the usual suspects when it comes to terror charges. Umeelewa chuma?
 
Very crazy! Definately the Saudi(s) will be released soon! Itabidi waendesha bodaboda watengenezewe ushahidi ili wafungwe otherwise serikali itaonekana haifanyi kazi. It doesnt click in mind that they were not suspects but were arrested because they happened to be on the crime scene! How many people were there? Why didnt they arrest all the people at crime scene?
Mkuu soma vizuri, ''Saudi Arabia's foreign ministry announced Sunday that a Saudi citizen who had been arrested at the same time as the UAE nationals had been freed without charge.''
 
kwa hivo wamewaachia waarabu na kuwashikilia aliembeba mrusha
bomu na aliombwa kuchaji simy ya victor kuwa ndio washukiwa
kweli sisi vichwa vya panzi.
hilo bomu tunaambiwa sio la kienyeji ni la kiwandani.
kuna viwanda vya bomu arusha? au Tanzania?
bomu lilifikaje arusha?
tumewapa Loliondo, hao hao tunalazimshwa kuwaachia eti hawahusiki.
punde watafanya makubwa zaidi ya waliofanya arusha, yetu macho.
 
Sishangazwi hata kidogo na jambo hili. Tumezidi kujikomba umangani mpaka inatia aibu. Naona mkuu wa kaya baada ya kuona kimeanza kunuka Ulaya na Marekani wameshaanza kumstukia, sasa kageuza uso anatembeza bakuli nchi za kiarabu. Ndiyo sababu kila kukicha yuko huko na anadiriki 'kuwabembeleza' waje kuwekeza Tanzania kiasi cha kuwapa 'uhuru' wa kuitumia nchi yetu na rasilmali zake kwa namna wanayotaka wao. Hata wamasai sio kitu mbele ya maswahiba wake wa kiarabu; wanahamishwa kutoka kwenye ardhi yao ili wapewe waarabu, ndege zinabeba wanyama wetu kupeleka huko Arabuni mchana kweupe. Sembuse leo wakija kutulipua ataweza kufurukuta?

Tuamke nchi imeshauzwa. Waswahili husema ukiona manyoya jua kashaliwa... Kazi ni kwetu sisi wenye uchungu na nchi yetu kufanya mabadiliko kabla hatujageuzwa wote kuwa watumwa nchini mwetu.

Inawezekana, timiza wajibu wako - Mwalimu Nyerere.
Mkuu kama ushahidi wa kuwatia hatiani haupo, unalaumu nini?
 
Ukiona unazidiwa akili na mwarabu jua kua ww ni mbulula kabisa.

Kwani unajua leo. Waarabu waliwabebesha nazi babu zako enzi zile. Kwa kifupi ni kwamba waliwazidi akili kipindi kirefu.
 
Mkuu soma vizuri, ''Saudi Arabia's foreign ministry announced Sunday that a Saudi citizen who had been arrested at the same time as the UAE nationals had been freed without charge.''

Oh, thanks for letting me know. Picha si itabidi ichezwe upya hapo?
 
kumbe J.K alikatisha safari ili aje kuhakikisha jamaa wanaachiwa?
Eti tungekosa misaada mingi kama tungeendelea kuwashikilia: Barabara ya kwenda Mtwara, uwanja wa kimataifa wa Dodoma, Kodi wanayolipa OBC ya Arusha, etc. Kwa hiyo ni heri tuuguze majeraha wenyewe kuliko kuikosa hiyo misaada feki.
 
Back
Top Bottom