Bomba la mafuta toka Uganda kitendawili

Bomba la mafuta toka Uganda kitendawili

Unajua maana ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia?

Mkataba hauwekwi wazi ili tuone kilicho chetu exactly ni asilimia ngapi?, Cha Mganda ni asilimia ngapi?, Na cha mwekezaji ni asilimia ngapi?

Je hizo asilimia zetu tutakazopata ziko worthy kurisk hatari ya uharibifu wa mazingira kama itatokea hitilafu?

Je na sisi tunachangia mtaji wa ujenzi?

Je mgawanyo wa ajira katika kumanage hilo bomba ukoje kati yetu na Waganda?

Je sisi tunapata share yoyote katika mafuta yatakayopita katika nchi yetu au sisi kazi yetu ni kutoza ushuru wa hizo lita?

Je vipi kuhusu sisi tukigundua mafuta yetu, hilo bomba halitotuzingua kwa kutuletea ushindani?

BADALA YA KUTUIMBIA UZURI WA BOMBA, TUWEKEENI FIGURE TUONE WENYEWE CHETU NI ASILIMIA NGAPI?
 
kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania.
Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo.
Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania. Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo.

Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.

Tuache uongo usio na sababu. Bomba la mafuta litakuja ila kwa kuchelewa.
Museveni anataka kujenga refinery kubwa Uganda ambayo itamaliza mafuta yote na kusiwepo kitucha kusafirisha. TOTAL wanaona hilo ni tatizo na nafikiri bado hakuna muafaka...kuna mambo ya land compensation maana Uganda ardhi ni Mali ya watu binafsi sio serikali....

Ukiangalia issues zilivyo Tanzania issue pekee iliyobaki ni Host Country Agreement...which can only be done once issues in Uganda have all been cleared.

Kwanini mnashangilia hili bomba lisipite Tanzania? Nyinyi ni watanzania kweli?
Siasa zina kikomo. Mtapoteza Baraka ya mzaliwa wa kwanza kwa bakuli la Jamaa kama alivyofanya Essau kwa Jacob
 
Tuache uongo usio na sababu. Bomba la mafuta litakuja ila kwa kuchelewa.
Museveni anataka kujenga refinery kubwa Uganda ambayo itamaliza mafuta yote na kusiwepo kitucha kusafirisha. TOTAL wanaona hilo ni tatizo na nafikiri bado hakuna muafaka...kuna mambo ya land compensation maana Uganda ardhi ni Mali ya watu binafsi sio serikali....

Ukiangalia issues zilivyo Tanzania issue pekee iliyobaki ni Host Country Agreement...which can only be done once issues in Uganda have all been cleared.

Kwanini mnashangilia hili bomba lisipite Tanzania? Nyinyi ni watanzania kweli?
Siasa zina kikomo. Mtapoteza Baraka ya mzaliwa wa kwanza kwa bakuli la Jamaa kama alivyofanya Essau kwa Jacob
Umesikia kuhusu kuongeza eneo la reserve kwenye Bomba? Ni 30 m on both sodes.
Tz na Ug wanataka kuongeza ili kuweka kuweka miradi mingine siku za usoni. Wazungu wamegoma katakata. Na hiyo 30 m on both sides itakuwa chini ya wazungu. Huwezi kufanya lolote bila idhini yao.
Msidhani kama Wakenya wamelala. They are fighting ti get it back to the original plan.

Hizi sarakasi zetu na investors zinawapa confidence ya kufanikiwa maana tumezidi ukigeugeu.

Time will tell. Unganisha ya kwenye madini na gas. Utapata jibu.
 
Harafu eti tunaushirikiano wa africa mashariki!! Huu ni unafiki wa hali ya juu TZ.
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.

Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.

Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
 
Tuache uongo usio na sababu. Bomba la mafuta litakuja ila kwa kuchelewa.
Museveni anataka kujenga refinery kubwa Uganda ambayo itamaliza mafuta yote na kusiwepo kitucha kusafirisha. TOTAL wanaona hilo ni tatizo na nafikiri bado hakuna muafaka...kuna mambo ya land compensation maana Uganda ardhi ni Mali ya watu binafsi sio serikali....

Ukiangalia issues zilivyo Tanzania issue pekee iliyobaki ni Host Country Agreement...which can only be done once issues in Uganda have all been cleared.

Kwanini mnashangilia hili bomba lisipite Tanzania? Nyinyi ni watanzania kweli?
Siasa zina kikomo. Mtapoteza Baraka ya mzaliwa wa kwanza kwa bakuli la Jamaa kama alivyofanya Essau kwa Jacob
Na wala hakuna anayeshangalia lisipite Tanzania. Tunakataa sera na misimamo ya ovyo kwenye investments.
Loser atakuwa Tanzania. Ina maana kuna mikataba ya ovyo awamu ya tano? Hii si ya malaika?
 
Umesikia kuhusu kuongeza eneo la reserve kwenye Bomba? Ni 30 m on both sodes.
Tz na Ug wanataka kuongeza ili kuweka kuweka miradi mingine siku za usoni. Wazungu wamegoma katakata. Na hiyo 30 m on both sides itakuwa chini ya wazungu. Huwezi kufanya lolote bila idhini yao.
Msidhani kama Wakenya wamelala. They are fighting ti get it back to the original plan.

Hizi sarakasi zetu na investors zinawapa confidence ya kufanikiwa maana tumezidi ukigeugeu.

Time will tell. Unganisha ya kwenye madini na gas. Utapata jibu.


On this am confident litapita Tanzania. Kuna issues nyingi sana zinaendelea ila sijaona indication yoyote Ile Tanzania imekuwa kikwazo kwa wao kuendelea na project. Issues kubwa ziko Uganda kuliko Tanzania.
 
Na wala hakuna anayeshangalia lisipite Tanzania. Tunakataa sera na misimamo ya ovyo kwenye investments.
Loser atakuwa Tanzania. Ina maana kuna mikataba ya ovyo awamu ya tano? Hii si ya malaika?
Wakenya hawataweza kubadili mwelekeo wa hii investment. Kama issue ni madini, then tusiingize issue ya bomba la mafuta
 
Sasa haya mabomba yanayopita hapa na magari barabarani yanakwenda wapi kama mradi haupo? Tupe chanzo cha habari
 
Figisu Figisu zote za Makindye barracks na za wale wanyarwanda WA state research bureau Mzee Kaguta anazo
 
On this am confident litapita Tanzania. Kuna issues nyingi sana zinaendelea ila sijaona indication yoyote Ile Tanzania imekuwa kikwazo kwa wao kuendelea na project. Issues kubwa ziko Uganda kuliko Tanzania.
It might be true hatuta benefit under the current arrangements. Probably we give in too much kuwapoka Wakenya. Now we are realising how naive we were.
 
It might be true hatuta benefit under the current arrangements. Probably we give in too much kuwapoka Wakenya. Now we are realising how naive we were.
Sidhani....hizi ni habari za kusikika kama ilivyo kawaida yetu.
Ingekuwa vizuri kusema kitu ambacho kina information za kutosha kuthibitisha unachosema.
For your information office ya jamaa inazidi kukua. EPCM contractor has been appointed. Issues zilizopo sio hizo unazoziongea hapo. Sio kweli
 
Mleta mada litendee haki jukwaa weka source
Bavicha magoti ovyo kabisa
016EDA86-A944-460C-912E-3AD563EA1773.jpeg
 
Wakitoka hapo bavicha magoti wako mtaani wanacheza singeli ya membe
Uwiii
Crazy psychopaths
 
Sidhani....hizi ni habari za kusikika kama ilivyo kawaida yetu.
Ingekuwa vizuri kusema kitu ambacho kina information za kutosha kuthibitisha unachosema.
For your information office ya jamaa inazidi kukua. EPCM contractor has been appointed. Issues zilizopo sio hizo unazoziongea hapo. Sio kweli
Kiongozi unajua the actual financing ya watoa fedha bado haijafanyika?
Ikiwahi itakuwa mwakani 2019. Kuna Standared Chartered Bank na wengine.
 
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.

Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.

Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Leta ushahidi wa maelezo yako
 
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.

Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.

Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Hii ni habari fake
 
Kiongozi unajua the actual financing ya watoa fedha bado haijafanyika?
Ikiwahi itakuwa mwakani 2019. Kuna Standared Chartered Bank na wengine.
Do you know why haijafanyika? Haiwezi kufanyika bila kusaini Host Countries Agreement.
There are very serious issues in Uganda. Land acquisition is a long and expensive process...That once done will give a green light for the project.
Hizi story unazisikia wapi ? Huku barabarani? Unakaa na wahusika wa project hii na kuongea? At least wa nje na ndani?
Trust me habari unayoandika ni uongo. Sio kweli
 
Back
Top Bottom