simba songea
JF-Expert Member
- Feb 8, 2016
- 1,496
- 1,218
UGANDA WAMEONA VITU HIVI TANZANIA;
1. UNAFUU, Uganda wanaona Tanga tayari kuna bandari, kwa hiyo hakuna gharama za ujenzi wa bandari.
2. MUDA, kitendo cha Tanga kuwa na bandari tayari imeshapunguza muda wa umalizikaji wa mradi, makadirio mradi utaanza biashara mpaka 2018. Uganda wanaona Kenya hakuna bandari kwa hiyo mradi utachukua muda mrefu kumalizika.
3. UZOEFU WA BANDARI, bandari ya Tanga ni kongwe kwa wateja tayari wameshaizoea, hata maofisa wa bandari ya Tanga wanauzoefu wa kutosha. Lamu, Kenya hakuna bandari watakapojenga itachukua muda mrefu wateja kuizoea.
4. USALAMA, hapo utakubaliana nami kwamba hali ya usalama Kenya ni shwari, lakini mashambulizi ya kujitoa mhanga/kushtukiza yanayoendelea Kenya zidi ya Al-Shabaab yanaitia wasi wasi Uganda. Ikumbukwe mradi unagharimu pesa nyingi sana.
5. UHUSIANO MZURI WA KIDIPLOMASIA UGANDA-TANZANIA(vita ya Kagera), hapa pia utakubaliana nami MUSEVENI analipa fadhira kwa Tanzania.
NYONGEZA;
Serikali ya sasa ya Tanzania ipo makini chini ya uongozi wake MAGUFULI. Hapo suala la ufisadi halina nafasi katika mradi huu.
1. UNAFUU, Uganda wanaona Tanga tayari kuna bandari, kwa hiyo hakuna gharama za ujenzi wa bandari.
2. MUDA, kitendo cha Tanga kuwa na bandari tayari imeshapunguza muda wa umalizikaji wa mradi, makadirio mradi utaanza biashara mpaka 2018. Uganda wanaona Kenya hakuna bandari kwa hiyo mradi utachukua muda mrefu kumalizika.
3. UZOEFU WA BANDARI, bandari ya Tanga ni kongwe kwa wateja tayari wameshaizoea, hata maofisa wa bandari ya Tanga wanauzoefu wa kutosha. Lamu, Kenya hakuna bandari watakapojenga itachukua muda mrefu wateja kuizoea.
4. USALAMA, hapo utakubaliana nami kwamba hali ya usalama Kenya ni shwari, lakini mashambulizi ya kujitoa mhanga/kushtukiza yanayoendelea Kenya zidi ya Al-Shabaab yanaitia wasi wasi Uganda. Ikumbukwe mradi unagharimu pesa nyingi sana.
5. UHUSIANO MZURI WA KIDIPLOMASIA UGANDA-TANZANIA(vita ya Kagera), hapa pia utakubaliana nami MUSEVENI analipa fadhira kwa Tanzania.
NYONGEZA;
Serikali ya sasa ya Tanzania ipo makini chini ya uongozi wake MAGUFULI. Hapo suala la ufisadi halina nafasi katika mradi huu.