body freedom

Huyo aliyepiga hii picha........hakupata view ya mbele......? Kaniuziiiii.....
 
alieipiga hii picha alikua na yeye anaendesha. asingeweza kupata view ya mbele.
 
Naona umefunga kwako, watu hawawezi kukutumia PM. Fanya hivi: Tuma ujumbe kwa PM kwenda kwa 'support@jamiiforums.com, ukiweka heading kwamba unaomba access mambo ya wakubwa! Utafunguliwa chapchap
Poa Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom