NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Duuu, kumfananisha ZZK na DOVUTWA ni tusi la nguoni kwa ZZK.ZZK anamtetea mwizi muhando mpaka povu linamtoka ndio anaota kuja Kuwa rais wangu? Labda akawe raisi wa bongo fleva cdm wakimpitisha kura yangu na familia yangu nampa Dovutwa.....