Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
All the best
Shukran mkuu
Next week narudi kariakoo niendelee nilipoishia
Kashkash za kariakoo ni hatari sana

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
All the best
Shukran mkuu
Next week narudi kariakoo niendelee nilipoishia

Ndiyo. Kwenye barabara zina hadhi mojaSasa pikipiki inahadhi ya gari
Karibu ndugu!All the best
Kashkash za kariakoo ni hatari sana
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sina hamu na Kariakoo.Karibu ndugu!
😁😁😁Kuna njia zake mule ukifata formula utabambiana mpaka ukome...Sina hamu na Kariakoo.
Kupenya tu toka Nyamwezi kuja kuikamata gerezani
Humo njiani ni kero tupu.
Mwendokasi vituo vipo karibu karibu sama,pia barabarq zetu zebra kila mahari,ndio maana watu wanagongwaMkuu
Ukiwa unapanda haya mabus ya mwendokasi kila siku, na ukawa unakaa pale mbele kabisa na dereva, utakubaliana na mimi kabisa kuwa bodaboda ni wapumbavu.
Na mbaya zaidi huwa wanajiaminisha kwamba hawezi kupatwa na hatari..
Gari ishatoka kasi, anaenda kujichomeka anavyopenda.
Mwendokasi huwa wanajitahidi mno kuwakwepa,
Muda mwingine hadi hupelekea gari lililobeba mamia ya watu kuyumba, kwa sababu ya mtu Moja aliyeamua kujitoa ufahamu na kukatiza bila mpangilio.
Kama mna ndugu zenu bodaboda na mnawapenda, tafadhali washaurini washikilie akili zao, badala ya kuziweka mfukoni.
Mwendokasi ina mapungufu mengi mno ila siyo kwa upande wa uendeshaji wa madereva .
Madereva wake wapo makini sana..
Laiti wangekuwa rafu kama wa daladala, ama wangekuwa na akili kama za bodaboda
Akiyanani kungekuwa na mamia ya misiba kila siku.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sio DIT kabisa ni nyuma kidogo pale kwenye mataa ambapo kuna barabara ya kwenda Lumumba kama sijakosea.. Muda mwingine madereva wa mwendokasi wanadharau mataa.
Mi kinachonipa hasira ni madereva wa magari wanapowapigia honi waendesha pikipiki wapishwe ili wapite. Wakati hivyo vyombo vyote vina hadhi sawa barabarani.
Boda wanavunja sana Sheria ! Na wanakera sana. Wameshazuiwa kutumia Barabara za Mwendo kasi muda tu awasikii! Uwezi risk maisha ya watu zaidi ya 100 waliopo kwenye bus kwa ajili ya mpumbavu mmoja- unakula kichwa tu hii ndo dawa- ajali ya jana ni miongoni mwa makumi ya ajali za Boda na Bus za mwendo kasi. Inatakiwa bodas wapewe mafunzo ya Driving na pia ije kuwa boda akipata ajali ya kutokana na uzembe afutiwe leseni milele hapo ndo watakuja kuwa na adabuLeo asubuhi pametokea ajali maeneo ya DIT iliyohusisha basi la Mwendokasi na Pikipiki maarufu Bodaboda sina details za kutosha kuhusu madhara yaliyotokea kwa maana ya majeruhi au kama kuna kifo chochote lakini so far ni ajali mbaya maana time niliyokuwa napita basi la Mwendokasi lilikuwa linapigwa jeki na Pikipiki inatolewa chini ya uvungu mwa basi.
Kila mtu baada ya kuona mazingira yale alikuwa anatoa lawama kwa dereva bodaboda bila hata ya kuwa na picha halisi ya kile kilichotokea mpaka kusababisha ajali.
It's like ajali yoyote itakayohusisha bodaboda basi lawama zote atatupiwa bodaboda huu ni uonevu wa kiwango cha juu sio bodaboda wote hawaobey sheria za barabarani na sio kila dereva wa gari yupo perfect asilimia mia.
Tuheshimu Bodaboda nao ni Binadamu licha ya kuwa na mapungufu yao lakini still wana mema yao kama walivyo Binadamu wengine as long unajua kuendesha Pikipiki inabidi uwe mstari wa mbele kutetea bodaboda maana siku unaweza kuwa kwenye mizunguko yako ukapata mushikeli waka kuhukumu kama wanavyowahukumu bodaboda.
Endelea kupata hasiraMi kinachonipa hasira ni madereva wa magari wanapowapigia honi waendesha pikipiki wapishwe ili wapite. Wakati hivyo vyombo vyote vina hadhi sawa barabarani.
Kwamba Mwendokasi dereva alikuwa kalewa?kuna muda natamani wizara husika, ama sekta husika zingewapeleka boda boda kujifunza Kigali Rwanda. Kila dereva na abiria lazima avae helmet, na ni wasafiri wawili tuu (dereva na abiria) kwa boda boda
Pia, madereva wa magari akikutwa amelewa ni jela siku 5/7 na fine juu. Wengi hupaki magari na kutumia usafiri wa uma kwenda kwenye burudani
Mkuu pole sanaMwache huyo anaongea, binafsi npo napambania afya hapa wiki ya pili siendi kazini kisa kichaa Moja alikua anaendesha gari Kwa speed kubwa na hayupo site yake kubalance mambo ikabidi aforce kupenya akaniparamia
Hapana alikuwa na akili timamu, ijapokuwa yeye na dereva wa bowa walishindwa kutumia kanuni ya 1 : 1 katika uendeshaji wa chombo cha moto