binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,110
- 34,405
Abiria uchukue tahadhari gani mkiwa mko kwenye mwendo tayari? Kuna muda unapanda tu unamwambia twende taratibu, akishaona vipi sijui anasahau anavuta mafuta. Best way ni kutokupanda boda kabisa kwa wanaoweza japo kuna muda boda hazikwepeki.Kama ulimwambia akukimbize chap Kariakoo ulitegemea nini? Ndio maana wanashauri na wewe kama abiria kuchukua tahadhari unapoona dereva wako anakiuka sheria
Mimi napanda boda barabara za mtaani tu, main road hapana. Serikali Ifanye jambo vijana wa boda wataisha.