Kijana nakukumbusha tu kuwa Hata kama ukiwa umechangia mara 3 au zaidi na kupata KADI ya uanachama wa uchangiaji wa Damu Salama.. Usije thubutu kusema sababu unachangiaga ndio utaikuta Damu kwa Blood bank ili upewe bure bila kuchangia tena...Ndugu yangu utaKUFA wakati uko na Kadi yako mfukoni.Aisee..kwani wewe huwa hauchangiagi damu kwa hiari..ili ukapata ya serikali iliyohifadhiwa bank ya damu bure??
Wandugu muhimu kuchangia damu ili unapojipata na shida kama hizi iwe rahisi kuokoa maisha yako na ya mpendwa wako.
Duh..unataka kusema kuwa hats ukiwa na kadi ya kuchangia damu..haupewo damu Bure??Kijana nakukumbusha tu kuwa Hata kama ukiwa umechangia mara 3 au zaidi na kupata KADI ya uanachama wa uchangiaji wa Damu Salama.. Usije thubutu kusema sababu unachangiaga ndio utaikuta Damu kwa Blood bank ili upewe bure bila kuchangia tena...Ndugu yangu utaKUFA wakati uko na Kadi yako mfukoni.
Changia Damu patiwa Damu kwa wewe mwenyewe na Ndugu yako.
Yaani watu watatu wote wamepatikana darAHSANTENI SANA KWA KUWA PAMOJA NAMI KATIKA KUMSAIDIA HUYU KIJANA MWENZETU JUU YA UPATIKANAJI WA DAMU GROUP O-VE (NEGATIVE).
AHSANTE KWA WOTE AMBAO TUMEWASILIANA KWA SIMU NA WENGINE WENGI KUAMUA KUJITOLEA HATA BURE NA KUFANIKISHA KIJANA MWENZETU KUWA NA IMANI NA KURUDISHA UHAI WAKE...
NAWAOMBA TENA TUSICHOKANE KATIKA WAKATI MWINGINE TUTAKAPOHITAJI MSAADA WENU.
HAKIKA JF KUNA UPENDO ZAIDI YA NDUGU WA KARIBU YAKO...
4 UNIT OF BLOOD COLLECTED TO 4 PEOPLES
WATU WATATU DAR NA MMOJA MOROGORO.
AHSANTENI KWA KUOKOA UHAI WA NDUGU YETU...
RAMADHANI KAREEEM........!!!
Kuna ukweli kwenye hili swala lako,!? Au nawewe ni agent wa damu salama???Aisee..kwani wewe huwa hauchangiagi damu kwa hiari..ili ukapata ya serikali iliyohifadhiwa bank ya damu bure??
Wandugu muhimu kuchangia damu ili unapojipata na shida kama hizi iwe rahisi kuokoa maisha yako na ya mpendwa wako.
Mimi ni O - ila sijawahi kutoa damu, niliwahi kusikia ukitoa damu kila ikijaa itabidi uwe unaitoaMimi ni O+ ningekudonate, O- wapo wachache sana na unaweza kufa unajiona
Mimi nina group O ila siju kama ni O-negative au O + positive kama unavyomaanisha. Ila kama unamaanisha maambukizi mi ni HIV -. Maana sometime huwa wanatafutwa walioathirika wanaoendana na mgonjwa mwenye maambukizi (HIV +).
Pili haiwezi kuwa rahisi hivyo naanza kuondoka kuja Morogoro japo kimsingi siwezi nikauza uhai. Practically naanzaje nitoke Dar kuja Morogro katikati ya pilika pilika zote hizi. Tatu naweza toa damu ikaishia kuuzwa. Mimi nikitoa damu lazima nishuhudie inawekwa kwa mgonjwa na mgonjwa nimuone na wajue natoa bure. SIUZI DAMU NA SITAK DAMU YANGU IUZWE.
Mkuu nipo dom na sasa nipo kwenye swaumu panapo uwezekano nitoe kwa jioni.Dharura...!! Dharura...!! Dharura...!! Dharura...!!
Ndugu zangu kama nilivyowaeleza hapo juu, kuna jirani yangu hapa ana tatizo la "Sickle cell" lakini amepungukiwa na DAMU kwa kiasi kikubwa. Kwa hiyo anahitaji mtu mwenye Damu group tajwa hapo juu ili kuweza kupata damu haraka, kwani pia huwa anaongezewa Damu mara kwa mara ila kuwa watu 2 huwa ndio wanaomchangia sema mmoja amesafiri kwenda Msumbiji na hawezi kurudi karibu hii na huyu mwingine anaumwa na Dengue.
Please mwenye kuwa na damu group O-ve naomba aje PM haraka mgonjwa yupo Morogoro. But kama wewe uko Dar es salaam, Morogoro, Iringa, Dodoma, Tanga naomba niambie tu nitakuelekeza jinsi ya kutoa Damu na kumfikia mgonjwa.
Mkuu umefanikiwa kupata? kama tayr basi kheri ila kama bado usisite tutafutane mimi nipo dom hapa mjini ukifika hosp.yyt nipo tayr kufika na kutoa tumsaidie ndugu yetu damu zenye rhesus ya - ni shida sana unakufa hivihivi na watu wanakuangalia wanashindwa kukusaidia,tafadhari panapo uhitaji nitafute nitatoa bure maana hata mimi sijui nani ataniongezea siku nikipungukiwa ila naomba kwa Mwenyezi anihifadhi na suala la upunguaji wa damu,inshaallah!!Mkuu nipo dom na sasa nipo kwenye swaumu panapo uwezekano nitoe kwa jioni.
Kijana hakika umekuwa na utu sana aisee, ps ni PM ili next time nikutafute ila kwa leo imepatikana Chupa 4 zitamsaidia kwani mchango mkubwa wa JF ndio umefanikisha jambo hiliMkuu umefanikiwa kupata? kama tayr basi kheri ila kama bado usisite tutafutane mimi nipo dom hapa mjini ukifika hosp.yyt nipo tayr kufika na kutoa tumsaidie ndugu yetu damu zenye rhesus ya - ni shida sana unakufa hivihivi na watu wanakuangalia wanashindwa kukusaidia,tafadhari panapo uhitaji nitafute nitatoa bure maana hata mimi sijui nani ataniongezea siku nikipungukiwa ila naomba kwa Mwenyezi anihifadhi na suala la upunguaji wa damu,inshaallah!!
So unashauri...Pesa isiuze utu wako ndugu. Chukua tahadhari usije kutolewa dv kwa tamaa ya senti kidogo
kabisaAise kijana am sor sana, najua waleta masahara katika jambo hili nyeti kabisa ila ninaomba jambo hili lichukuliwe serious na si kama unavyowaogofya kama hivi...!!
InshaAllahAHSANTENI SANA KWA KUWA PAMOJA NAMI KATIKA KUMSAIDIA HUYU KIJANA MWENZETU JUU YA UPATIKANAJI WA DAMU GROUP O-VE (NEGATIVE).
AHSANTE KWA WOTE AMBAO TUMEWASILIANA KWA SIMU NA WENGINE WENGI KUAMUA KUJITOLEA HATA BURE NA KUFANIKISHA KIJANA MWENZETU KUWA NA IMANI NA KURUDISHA UHAI WAKE...
NAWAOMBA TENA TUSICHOKANE KATIKA WAKATI MWINGINE TUTAKAPOHITAJI MSAADA WENU.
HAKIKA JF KUNA UPENDO ZAIDI YA NDUGU WA KARIBU YAKO...
4 UNIT OF BLOOD COLLECTED TO 4 PEOPLES
WATU WATATU DAR NA MMOJA MOROGORO.
AHSANTENI KWA KUOKOA UHAI WA NDUGU YETU...
RAMADHANI KAREEEM........!!!
Nashauri kuchukua tahadhari pindi unapata tangazo linalotaka kukutana uso-kwa-uso. Vinginevyo unaweza kujiunga chama la wanaSo unashauri...