Blood group O-ve (Negative) anahitajika haraka sana..!!

Blood group O-ve (Negative) anahitajika haraka sana..!!

Kuna rafiki yangu namjua ana hiyo group na nna miadi ya kuonana naye kesho. Ila sidhani kama hili jambo atalipokea positively.
 
Kuna rafiki yangu namjua ana hiyo group na nna miadi ya kuonana naye kesho. Ila sidhani kama hili jambo atalipokea positively.
Mpe elimu ya pesa kwani ipo pesa ya uhakika ya sikukuu
 
Shida ulivyowasilisha hiyo hoja ndo ukakasi ulipo,

Uliposema Mwenye damu group Hilo anahitajika haraka Sana hapo ndipo ulipokosea, Mtu ulimwambia haraka Sana maana yake Kuna hell Hivyo aache SHUGHULI zake achangamkie fursa hiyo ya pesa!!

Sasa anapoingia anasoma Uzi wako anakuta Hakuna dau la pesa Bali NI ombi la bure!!!! Hapo ndipo unapopata majibu ya kebehi.


ULIPASWA utangulize kuomba mf, Ungeweza kysema NDUGU ZANGU WANA JF NINAOMBA MSAADA WA DAMU WA GROUP O, no.
 
Dharura...!! Dharura...!! Dharura...!! Dharura...!!
Ndugu zangu kama nilivyowaeleza hapo juu, kuna jirani yangu hapa ana tatizo la "Sickle cell" lakini amepungukiwa na DAMU kwa kiasi kikubwa. Kwa hiyo anahitaji mtu mwenye Damu group tajwa hapo juu ili kuweza kupata damu haraka, kwani pia huwa anaongezewa Damu mara kwa mara ila kuwa watu 2 huwa ndio wanaomchangia sema mmoja amesafiri kwenda Msumbiji na hawezi kurudi karibu hii na huyu mwingine anaumwa na Dengue.

Please mwenye kuwa na damu group O-ve naomba aje PM haraka mgonjwa yupo Morogoro. But kama wewe uko Dar es salaam, Morogoro, Iringa, Dodoma, Tanga naomba niambie tu nitakuelekeza jinsi ya kutoa Damu na kumfikia mgonjwa.
Poleni saana aisee.

Mimi nina Group O positive aisee.
 
Dharura...!! Dharura...!! Dharura...!! Dharura...!!
Ndugu zangu kama nilivyowaeleza hapo juu, kuna jirani yangu hapa ana tatizo la "Sickle cell" lakini amepungukiwa na DAMU kwa kiasi kikubwa. Kwa hiyo anahitaji mtu mwenye Damu group tajwa hapo juu ili kuweza kupata damu haraka, kwani pia huwa anaongezewa Damu mara kwa mara ila kuwa watu 2 huwa ndio wanaomchangia sema mmoja amesafiri kwenda Msumbiji na hawezi kurudi karibu hii na huyu mwingine anaumwa na Dengue.

Please mwenye kuwa na damu group O-ve naomba aje PM haraka mgonjwa yupo Morogoro. But kama wewe uko Dar es salaam, Morogoro, Iringa, Dodoma, Tanga naomba niambie tu nitakuelekeza jinsi ya kutoa Damu na kumfikia mgonjwa.
Nitafte inbox mkuu Nina o -ve
 
Shida ulivyowasilisha hiyo hoja ndo ukakasi ulipo,

Uliposema Mwenye damu group Hilo anahitajika haraka Sana hapo ndipo ulipokosea, Mtu ulimwambia haraka Sana maana yake Kuna hell Hivyo aache SHUGHULI zake achangamkie fursa hiyo ya pesa!!

Sasa anapoingia anasoma Uzi wako anakuta Hakuna dau la pesa Bali NI ombi la bure!!!! Hapo ndipo unapopata majibu ya kebehi.


ULIPASWA utangulize kuomba mf, Ungeweza kysema NDUGU ZANGU WANA JF NINAOMBA MSAADA WA DAMU WA GROUP O, no.
Ahsante kwa marekebiasho ya Kiswahili kijana
 
Kuna group la hao watu walikua wamelitengeneza wa kupitia hapa JF litafute hebu pia.
 
Hujaona kasema kaandika mwenye hilo kundi la damu aende PM? Kwahyo PM wataelewana kwa kirefu zaidi. Punguzen ujuaji.
Shida ulivyowasilisha hiyo hoja ndo ukakasi ulipo,

Uliposema Mwenye damu group Hilo anahitajika haraka Sana hapo ndipo ulipokosea, Mtu ulimwambia haraka Sana maana yake Kuna hell Hivyo aache SHUGHULI zake achangamkie fursa hiyo ya pesa!!

Sasa anapoingia anasoma Uzi wako anakuta Hakuna dau la pesa Bali NI ombi la bure!!!! Hapo ndipo unapopata majibu ya kebehi.


ULIPASWA utangulize kuomba mf, Ungeweza kysema NDUGU ZANGU WANA JF NINAOMBA MSAADA WA DAMU WA GROUP O, no.
 
Back
Top Bottom