Blood group O-ve (Negative) anahitajika haraka sana..!!

Blood group O-ve (Negative) anahitajika haraka sana..!!

Nipo Iringa ndugu nina damu group o negative nipo tayari kutoa damu bure kabisa kwani damu hii sikuinunua nilipewa bure na Mwenyez Mungu, nicheck kama bado hujapata msaada
Ahsante sana kijana nitakuchek nitupie number yako PM
 
Ahsante Mungu kwa kunipa damu group AB+.....NAPOKEA DAMU ZOTE NA KUMPA WA GROUP AB+ MWENZANGU TU...


Ahsante Mungu
 
Mtakuja kukalia Msumari kwa tamaa ya pesa wandugu. Chukueni tahadhari na matangazo ya mitandaoni
Aise kijana am sor sana, najua waleta masahara katika jambo hili nyeti kabisa ila ninaomba jambo hili lichukuliwe serious na si kama unavyowaogofya kama hivi...!!
 
AHSANTENI SANA KWA KUWA PAMOJA NAMI KATIKA KUMSAIDIA HUYU KIJANA MWENZETU JUU YA UPATIKANAJI WA DAMU GROUP O-VE (NEGATIVE).

AHSANTE KWA WOTE AMBAO TUMEWASILIANA KWA SIMU NA WENGINE WENGI KUAMUA KUJITOLEA HATA BURE NA KUFANIKISHA KIJANA MWENZETU KUWA NA IMANI NA KURUDISHA UHAI WAKE...

NAWAOMBA TENA TUSICHOKANE KATIKA WAKATI MWINGINE TUTAKAPOHITAJI MSAADA WENU.

HAKIKA JF KUNA UPENDO ZAIDI YA NDUGU WA KARIBU YAKO...

4 UNIT OF BLOOD COLLECTED TO 4 PEOPLES

WATU WATATU DAR NA MMOJA MOROGORO.

AHSANTENI KWA KUOKOA UHAI WA NDUGU YETU...

RAMADHANI KAREEEM........!!!
 
Aisee..kwani wewe huwa hauchangiagi damu kwa hiari..ili ukapata ya serikali iliyohifadhiwa bank ya damu bure??

Wandugu muhimu kuchangia damu ili unapojipata na shida kama hizi iwe rahisi kuokoa maisha yako na ya mpendwa wako.
 
Back
Top Bottom