Blasia za madada zetu!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Hivi kwa kina dada inakuwaje unakuwa mzuri wakila kitu lakini unajisahau kwenye blasia??wengi nawaona!!wengini kwenye usafiri wetu huu wa daladal una kuta demu kapimp viwalo lakini wakati ameshika bomba la daladala chungulia kwapa sindria imechafukaaa!!!Unajiuliza huyu na uzuri wote kweli au hata likufuli waweza kuta yalah!
Katika pitpita nimekumbana nayo sana hii!!nasijui nikwa nini??Akina dada watatwambia maana humu JF tunao ma intelligent watajibu kama hawataingia mitini!
 
Hivi kwa kina dada inakuwaje unakuwa mzuri wakila kitu lakini unajisahau kwenye blasia??wengi nawaona!!wengini kwenye usafiri wetu huu wa daladal una kuta demu kapimp viwalo lakini wakati ameshika bomba la daladala chungulia kwapa sindria imechafukaaa!!!Unajiuliza huyu na uzuri wote kweli au hata likufuli waweza kuta yalah!
Katika pitpita nimekumbana nayo sana hii!!nasijui nikwa nini??Akina dada watatwambia maana humu JF tunao ma intelligent watajibu kama hawataingia mitini!


lol... alafu ukawa unachungulia kila baada ya 5min..
 
Hivi kwa kina dada inakuwaje unakuwa mzuri wakila kitu lakini unajisahau kwenye blasia??wengi nawaona!!wengini kwenye usafiri wetu huu wa daladal una kuta demu kapimp viwalo lakini wakati ameshika bomba la daladala chungulia kwapa sindria imechafukaaa!!!Unajiuliza huyu na uzuri wote kweli au hata likufuli waweza kuta yalah!
Katika pitpita nimekumbana nayo sana hii!!nasijui nikwa nini??Akina dada watatwambia maana humu JF tunao ma intelligent watajibu kama hawataingia mitini!
Broda,
Wewe ulipata ujasiri gani wa kuichunguli na kuichambua hivyo, kwamba iko chafu, au ulikuwa na mission ingine?
Ukimaliza hii andika pia kuhusu "mitambo ya fungus ya wanaume!"....huh!
 


lol... alafu ukawa unachungulia kila baada ya 5min..

Kwakuwa safari ilikuwa ndefu na wote tumesimama basi ilikuwa issue niwengi niwengi na wapo sasfii tena wamofisini siyo wakata nyasi!
 
Broda,
Wewe ulipata ujasiri gani wa kuichunguli na kuichambua hivyo, kwamba iko chafu, au ulikuwa na mission ingine?
Ukimaliza hii andika pia kuhusu "mitambo ya fungus ya wanaume!"....huh!
Tena hapa nilipokaa nimesikia funny-sound fulani hivi kukagua nagundua sikubadilisha soksi za viati za jana. Miguu yangu lakini nakereka kweli kweli
 
Broda,
Wewe ulipata ujasiri gani wa kuichunguli na kuichambua hivyo, kwamba iko chafu, au ulikuwa na mission ingine?
Ukimaliza hii andika pia kuhusu "mitambo ya fungus ya wanaume!"....huh!

Umenikumbusha mbali kwani kuna siku nilienda kwa rafiki yangu hapo ada estate kumuona jamaa alikuwa anaumwa!alikuwa RSA kafanyiwa operation sasa nikafika nikakuta yupo na jamaa2 kati yao nijamaa namjua ila alivaa soksi kisigino nje navidole nje nikashindwa kuelewa wakati anavaa alikuwa anavaa kama anavaa soksi au?? sasa basi harufu!!unajua watu wengi huwa hawana choice ya sokisi akiona mmachinga anauza ananunua wakati zile ni nylon!! unavaa lisaa limoja harufu yake utakoma ilibidi nijenge hoja kwa mshikaji kwamba kwanini tusikae nje tupate upepo jamaa akanielewa alishindwa kusema!!Hivyo nimatatizo juu ya matatizo!
 
huenda JAMAA ALITONGOZA AKAENDA KUMEGA AKUKUTA TOTO VIWALO SI VYENYEWE, POLE ILA KUOKOTEA NDIO MADHARA YAKE HAYO
 
Hivi kwa kina dada inakuwaje unakuwa mzuri wakila kitu lakini unajisahau kwenye blasia??wengi nawaona!!wengini kwenye usafiri wetu huu wa daladal una kuta demu kapimp viwalo lakini wakati ameshika bomba la daladala chungulia kwapa sindria imechafukaaa!!!Unajiuliza huyu na uzuri wote kweli au hata likufuli waweza kuta yalah!
Katika pitpita nimekumbana nayo sana hii!!nasijui nikwa nini??Akina dada watatwambia maana humu JF tunao ma intelligent watajibu kama hawataingia mitini!

Bora hata huyo ambaye blazia hajafua, nilikutana na moja kwa nje kavaa kama Beyonce ila kwa ndani blazia yake anatumia mipira ya baiskeli (manati), ilituchukuwa muda kuitafuta blazia wakati tunaondoka mana alipoifungua iliruka kutoka kitandani na ikajitundika kwenye kitasa cha mlango.....kidogo ncheke.
 
Hivi kwa kina dada inakuwaje unakuwa mzuri wakila kitu lakini unajisahau kwenye blasia??wengi nawaona!!wengini kwenye usafiri wetu huu wa daladal una kuta demu kapimp viwalo lakini wakati ameshika bomba la daladala chungulia kwapa sindria imechafukaaa!!!Unajiuliza huyu na uzuri wote kweli au hata likufuli waweza kuta yalah!
Katika pitpita nimekumbana nayo sana hii!!nasijui nikwa nini??Akina dada watatwambia maana humu JF tunao ma intelligent watajibu kama hawataingia mitini!

Time for Tanzanian women to start wearing Punjabi or Burkha!
Hare Krisha!
 
Bora hata huyo ambaye blazia hajafua, nilikutana na moja kwa nje kavaa kama Beyonce ila kwa ndani blazia yake anatumia mipira ya baiskeli (manati), ilituchukuwa muda kuitafuta blazia wakati tunaondoka mana alipoifungua iliruka kutoka kitandani na ikajitundika kwenye kitasa cha mlango.....kidogo ncheke.

:becky::becky::becky::becky:uwiiiiii!Yaani nimechelka hadi usingizi kwishnei,lolz!
 
Inabidi tuwaelimishe polepole mpaka waelewe umuhimu wa usafi.Kwa kuanzia nawapa mfano wa wanyama kama mbuzi ,punda,ngòmbe na wengineo walao majani,palepale maziwa yanapokaa kwa mwanamke,ndipo palepale mbulungu zinapokaa kwa mwanaume kwa maana hiyo basi na wao akina dada wayajali matiti yao kwa usafi na kuyasitiri kama vile sisi tunavyositiri mbulungu zetu.Na sivyema kuyatembeza waziwazi au kuyaacha katika hali ya uchafu ni kujitafutia magonjwa.
 
Inabidi tuwaelimishe polepole mpaka waelewe umuhimu wa usafi.Kwa kuanzia nawapa mfano wa wanyama kama mbuzi ,punda,ngòmbe na wengineo walao majani,palepale maziwa yanapokaa kwa mwanamke,ndipo palepale mbulungu zinapokaa kwa mwanaume kwa maana hiyo basi na wao akina dada wayajali matiti yao kwa usafi na kuyasitiri kama vile sisi tunavyositiri mbulungu zetu.Na sivyema kuyatembeza waziwazi au kuyaacha katika hali ya uchafu ni kujitafutia magonjwa.

Dah, watu tuko tofauti....mwenzenu napenda demu awe mchafu kidogo....kaarufu ka kusisimua kwa mbaaaaaaaaaali, na tukimaliza sitaki nioge at least kwa siku mbili ili niwe nanukizia nikiwa kazini....kwa raha zangu. Akiwa msafi sana nakuwa turned off.
 
Dah, watu tuko tofauti....mwenzenu napenda demu awe mchafu kidogo....kaarufu ka kusisimua kwa mbaaaaaaaaaali, na tukimaliza sitaki nioge at least kwa siku mbili ili niwe nanukizia nikiwa kazini....kwa raha zangu. Akiwa msafi sana nakuwa turned off.

Mweeeee!!! I thought I've heard it all but this one right here....oh man oh man:becky::becky::becky::becky:
 
Mweeeee!!! I thought I've heard it all but this one right here....oh man oh man:becky::becky::becky::becky:

Yep, hujaona mbuzi dume akimnusa mbuzi jike kwa nyuma kisha anabinua midomo yake na kuinua kichwa juu akiomba sala kwa muumba akisema "god bless the woman", unazani anafanya kwa kuchukia harufu?
 
Yep, hujaona mbuzi dume akimnusa mbuzi jike kwa nyuma kisha anabinua midomo yake na kuinua kichwa juu akiomba sala kwa muumba akisema "god bless the woman", unazani anafanya kwa kuchukia harufu?

Oh yeah mabeberu wanapenda sana kufanya hizo. Dizaini mbunye ya mbuzi jike ina kaharufu flani kamleteako ashki beberu...
 
Oh yeah mabeberu wanapenda sana kufanya hizo. Dizaini mbunye ya mbuzi jike ina kaharufu flani kamleteako beberu...

Yep, sasa ile harufu ndo inapandisha mzuka....na nisipoisikia niko tayari kuvaa kinyago aka kujifunika makalio mithiri ya "vicks"
 
KakaKiiza ulichosema ni kweli kabisa,hata juzi nilikuwa nikiliongelea hilo na moja ya rafiki zangu,baadhi ya wanawake wanathamini urembo wa nnje na kutokuthamini ndani si braa pekee hata pants!unakuta ni chafu,zimefubaa hata rangi hazieleweki tena na kwa upande wa brazia huitaji hata kuchungulia coz wakati mwingine mikanda inaweza kutokeza kny bega nnje ya nguo so unaona ilivyo michafu,,argh!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom