Mimi utafiti wangu usio rasmi ni kuwa pale kuna "system" ya ulaji ambayo ni ya hatari. Wapo tayari kupokea hata sumu wakidai kuwa ni madawa ili tu wapate pesa. Hivyo akija mtu ambaye anataka kuondoa genge hilo basi wanajiunga kumfanyia cha kumfanyia. Mambo ambayo huyo mama anatuhumiwa nayo yawezekana kabisa ni ya kuchonga ili tu kumpaka matope. mfano hivi sasa ulizia kitu chochote kipya kizuri ni cha nani jibu utalipata haraka sana RITZ1. Hivyo bila uchunguzi na kuwa na system ambayo ni transparent tutaendelea kukupiga ramli tu.Ndugu unajua usemacho? Unataka tuurudishe mjadala hapa uone?
They said 12M sir not 10M, si you know she was not fired? she still enjoys a Governement Car, a Driver, and all that goes with such callings am not sure if she is alone... Someone said 'dhaifu'
Mkuu hapo hamna kitu ni mbwembwe tu za magazeti,huyu mama kabla ya kuwa mhasibu mkuu wa Serikali alikuwa mmoja wa makamishna wa TRA.Kilichofanyika ni kumrudisha tu alikotokea,hakuna jipya hapo!
Tafadhali sana usimkashifu Dr.Masau(RIP) kwa kum-compare na huyo mamaKwani hapo Afya alifanya nini zaidi ya majungu na mapambano na MAFISADI, yeye akiwa upande wa wananchi. huyu ni kama yule Dr. Masau walipigwa vita kwa sababu alitaka kuiweka wizara ktk right direction basi. Take it from ME.
Aliyekuwa Katibu mkuu wizara ya Afya na ustawi wa jamii ambaye alisimamishwa kwa kashfa ya ukiukaji maadili ya viongozi wa umma anadaiwa kulipwa mshahara wa zaidi ya Shilingi Milioni 12 kwa mwezi na Mamlaka ya Mapato Tanzania kama Kamishna.
Ubabe ndiyo ulimuondoa wizara ya afya.YES! But i guess aliletwa Afya baada ya kuonekana she's ok! Is she still ok hata baada ya kufanya vibaya Wizara ya Afya? Kama ingekuwa ametoka Afya ktk mazingira ya kawaida, then nisingekuwa na tatizo!
Kwani hapo Afya alifanya nini zaidi ya majungu na mapambano na MAFISADI, yeye akiwa upande wa wananchi. huyu ni kama yule Dr. Masau walipigwa vita kwa sababu alitaka kuiweka wizara ktk right direction basi. Take it from ME.
nakuunga mkono mia kabisa!Tunaposema dawa ya mtandao huu ni kuing'oa CCM hakuna namna nyingine.
Tuache kuzunguka sana zaidi ya kulaumu CCM.
Kwani hapo Afya alifanya nini zaidi ya majungu na mapambano na MAFISADI, yeye akiwa upande wa wananchi. huyu ni kama yule Dr. Masau walipigwa vita kwa sababu alitaka kuiweka wizara ktk right direction basi. Take it from ME.
Aaaa! mwacheni shemegi yangu, Mdogo angu ataendelea kuponda maraha, ndo uzuri wa ma-sugarmummy.
Huyu Mama ni mchapakazi sana,na sio mbaya kama inavyozushwa na watu yote hayo ilikuwa ni kwa wale wavivu na wasiotaka kufuata taratibu,ila kikweli mama ni mfuatiliaji na mweledi mkwa kwa kazi kama afisa masuhuli(Accounting officer)wizara ya Afya haikuwahi kuwa bora na imara kama alipokuwepo.mimi Dakitari palepale wizarani,namfahamu vizuri huyu mama,na kabla ya hapo nilikuwa wizara ya mambo ya ndani!nilimfahamu vizuri akiwa Mhasibu Mkuu wa serikali!Mama ni mweledi kila anapokuwa amekabidhiwa majukumu,nilitamani sana angerejeshwa palepale wizara ya afya kama katibu mkuu,au wizara nyingine kama katibu mkuu.tukiwa na akina mama kama huyu kwa nafasi za kiutendaji hakika nchi ingesonga mbele,chapa kazi mama kazi yako wenye haki wanaiona na Mungu atakujalia.Ina maana hiyo nafasi mpya ilikuwa wazi?