Kama wataacha na uchunguzi waliodai wanaendelea kuufanya basi hapo Serikali inastahili lawama!Uchunguzi gani mkuu? Hamna uchunguzi hapo, upepo umeshapita! Anaungana na Chenge, Jairo, Balali, Ngeleja, nk nk
Kwani hapo Afya alifanya nini zaidi ya majungu na mapambano na MAFISADI, yeye akiwa upande wa wananchi. huyu ni kama yule Dr. Masau walipigwa vita kwa sababu alitaka kuiweka wizara ktk right direction basi. Take it from ME.
Tuliambiwa pia kuna dereva
wake ambaye alimfanya kama mpenzi wake akiwa anampa taarifa nyeti za
yeyote aliyeonyesha kumfuatilia, je huyu dereva amehamia naye huko TRA?
basi ameula!!!
They said 12M sir not 10M, si you know she was not fired? she still enjoys a Governement Car, a Driver, and all that goes with such callings am not sure if she is alone... Someone said 'dhaifu'
Kwani hapo Afya alifanya nini zaidi ya majungu na mapambano na MAFISADI, yeye akiwa upande wa wananchi. huyu ni kama yule Dr. Masau walipigwa vita kwa sababu alitaka kuiweka wizara ktk right direction basi. Take it from ME.
Mkuu hapo hamna kitu ni mbwembwe tu za magazeti,huyu mama kabla ya kuwa mhasibu mkuu wa Serikali alikuwa mmoja wa makamishna wa TRA.Kilichofanyika ni kumrudisha tu alikotokea,hakuna jipya hapo