Blandina Nyoni aula TRA!

Blandina Nyoni aula TRA!

Mkuu suala la kuing'oa CCM lipo palepale na halipaswi kuwa mjadala!
Hapa tunajaribu kudadavua haki za mtumishi wa umma anapopatwa na tuhuma nzito kama hizi!

Watanzania tutabaki kulaumu, penye mazuri kusifia. hatuna plan. 2naenda enda 2 kama mapia. Nachukia sana nikiona maendeleo yale ina tunakuwa wagumu kuingia katika kuyatafuta kwa kasi ya ajabu. Watu kama hawa mafisad. Kuna haja ya kuwachelewesha. Rais JPM, tumia udikteta kidogo watu tuheshmiane mtaani.
 
ili kuwasaidia watanzania waliozoeleshwa ulojoulojo inafaa kuwatawala kidikiteta kwa muda kadhaa ili wanyooke...

maana samaki mkunje angali mbichi...ila huyu wa tanzania kaishakomaa lazima utumie nguvu kumvunja....

dictatorial regime is unavoidable...
 
Tunaposema dawa ya mtandao huu ni kuing'oa CCM hakuna namna nyingine.
Tuache kuzunguka sana zaidi ya kulaumu CCM.

Uitoe ccm ili waingie chadema?
Kati ya majipu matatu makubwa ya wiki hii yote yalikuwa yanahusishwa na ufadhili wa mgombea wenu!
Bade, huyo mkenya na kitilya!
Sijui tungeishije na mijipu uchungu miaka 5!
 
Uitoe ccm ili waingie chadema?
Kati ya majipu matatu makubwa ya wiki hii yote yalikuwa yanahusishwa na ufadhili wa mgombea wenu!
Bade, huyo mkenya na kitilya!
Sijui tungeishije na mijipu uchungu miaka 5!

Umesema ukweli kabisaa. Kiukweli mijipu uchungu ingeshindikana chini ya Lowasa. Hakuna mwenye moyo wa kuya
 
Nadhani 'kaula' ni wakati wa JK. Sasa ni kazi ndio 'kula'.
 
They said 12M sir not 10M, si you know she was not fired? she still enjoys a Governement Car, a Driver, and all that goes with such callings am not sure if she is alone... Someone said 'dhaifu'
Nani kasema mil. 10? Zaidi ya mil.10 ni juu ya mil. 10. Government Car ni nini?
 
Tunaposema dawa ya mtandao huu ni kuing'oa CCM hakuna namna nyingine.
Tuache kuzunguka sana zaidi ya kulaumu CCM.
Wakitumbua mnasema wanawaonea wakiwaacha mnalia ebu wambie viongozi wenu wawape dira
 
Back
Top Bottom