Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
acha ujinga, unajua kuwa bajeti za institutes zilizo chini ya afya zilikuwa zinaishia kwake? mfno mnh ikiletwa m250 m50 inarudishwa kwa hundi wizarani bila matumizi ya kueleweka? mtafute dr lipyoga akupe mkanda wa huyu fisadi.Kwani hapo Afya alifanya nini zaidi ya majungu na mapambano na MAFISADI, yeye akiwa upande wa wananchi. huyu ni kama yule Dr. Masau walipigwa vita kwa sababu alitaka kuiweka wizara ktk right direction basi. Take it from ME.