Blandina Nyoni aula TRA!

Blandina Nyoni aula TRA!

Kwani hapo Afya alifanya nini zaidi ya majungu na mapambano na MAFISADI, yeye akiwa upande wa wananchi. huyu ni kama yule Dr. Masau walipigwa vita kwa sababu alitaka kuiweka wizara ktk right direction basi. Take it from ME.
acha ujinga, unajua kuwa bajeti za institutes zilizo chini ya afya zilikuwa zinaishia kwake? mfno mnh ikiletwa m250 m50 inarudishwa kwa hundi wizarani bila matumizi ya kueleweka? mtafute dr lipyoga akupe mkanda wa huyu fisadi.
 
Those are the answers from the New Anointing Water.
Sin Power be broken! In Jesus name! Amen.
Our God is gudoo!!!


She is Innocent as per the commission.
tatizo kubwa ilikuwa ni ufisadi tu, mama Nyoni na Jairo walipendekezwa kuwa makatibu wakuu ikulu.
Kutokana na misimamo yao mafisadi wakawatoa mapema ndio maana katibu mkuu hakutoka katika
makatibu wakuu, Ila kimsing hawana shida ni mambo yaliyopo na yataendelea kuwepo.
Uliyoyajua ni tone kati ya bahari kuna makubwazaidi ambayo yapo na yanapindishwa.
 
Tick tock tick tock. Ilikuwa ni suala la Muda pale Wizara ya Afya. Jamaa walikuwa wanamsubiria Luhanjo atoke manake ndio alikuwa akimpa jeuri. Hakuna mtu safi nchi hii . Mwanzoni alikuwa anaonekana kama mtu safi lakini kadiri siku zilivyosonga kumbe na yeye alikuwa akipiga dili kama wengine.
 
Mkuu hapo hamna kitu ni mbwembwe tu za magazeti,huyu mama kabla ya kuwa mhasibu mkuu wa Serikali alikuwa mmoja wa makamishna wa TRA.Kilichofanyika ni kumrudisha tu alikotokea,hakuna jipya hapo!

Teh teh teh teh!! Permanent and Pensionable!!!

Huenda alikuwa secondment huyo hivyo karudi kwenye ajira yake ya kudumu! Ajira serikalini tamu! Ukiharibu hapa unarudishwa ulikotoka.
 
One of the right direction in kuzipa tenda kampuni zake za Mariedo na Mzenzi Contractor?.... Humjui huyu mwizi...

Mwisho wa yote haya ni aibu,waangalie Husein Mubarak,Gadaf na wengine kilicho wapata.Then waanze kutia maji nywele zao
 
Teh teh teh teh!! Permanent and Pensionable!!!

Huenda alikuwa secondment huyo hivyo karudi kwenye ajira yake ya kudumu! Ajira serikalini tamu! Ukiharibu hapa unarudishwa ulikotoka.
Huo ndiyo utamu wa kufanya kazi Serikalini!lakini hii haida faida kwa taifa kwa ujumla!
 
Kwahiyo hiyo nafasi ya ukamishna ilikuwa wazi inamsubiria yeye muda wote alipokuwa amepelekwa hazina na kisha baadae wizara ya afya? au hakuna mtanzania mwingine mwenye uwezo wa kuwa kamishna kwahiyo wakalazimika kumrejesha the failure Blandina Nyoni?
Mkuu unachohoji ni sahihi kabisa,lakini hiyo ndiyo hali halisi ya nchi yetu!
 
Kwani hapo Afya alifanya nini zaidi ya majungu na mapambano na MAFISADI, yeye akiwa upande wa wananchi. huyu ni kama yule Dr. Masau walipigwa vita kwa sababu alitaka kuiweka wizara ktk right direction basi. Take it from ME.

Si kweli yule bibiye alikuwa mwizi na mnyang'anyi ndo maana alisimamishwa, kama sivyo kwa nini hawajamrudishia kiti chake. Kilichofanyika kinaweza kuwa alishirikiana na wakubwa pale Magogoni kula mali ya umma ndo maana amepelekwa huko TRA tunamtakia ulaji mwema wa mali umma ila akumbuke kila nafsi kwa MUNGU itarejea hivyo ni vizuri kutenda wema kwa wenzako si kula hata usichostahili.
 
Back
Top Bottom