Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,981
- 12,996
Wasalaam
Mlioishi na hawa jamaa kwanini Tabia zao zinafanana ilihali wanaishi nchi na bara tofauti.
Wote ni wabaguzi , ni heri amsaidie mtu mweupe kuliko mweusi mwenzie.
Wana unyani Fulani hivi wa kujisikia na kujiona wao ni blacks daraja la kwanza.
Uvivu , hili halipingiki angalia maeneo wanayoishi ni watu ambao sio wa kujituma kufanya kazi.
Ugomvi na ukorofi, tunaona kwenye movie zao au harakati zao kwenye media.
Kwenye mapenzi, we mweusi wa kutoka nchi nyingine ni kupata mpenzi wa kizungu ila sio black mwenzako.
Kiujumla wanafanana kwa vitu vingi.
Mlioishi nao kwanini wanafanana kitabia ?
Mlioishi na hawa jamaa kwanini Tabia zao zinafanana ilihali wanaishi nchi na bara tofauti.
Wote ni wabaguzi , ni heri amsaidie mtu mweupe kuliko mweusi mwenzie.
Wana unyani Fulani hivi wa kujisikia na kujiona wao ni blacks daraja la kwanza.
Uvivu , hili halipingiki angalia maeneo wanayoishi ni watu ambao sio wa kujituma kufanya kazi.
Ugomvi na ukorofi, tunaona kwenye movie zao au harakati zao kwenye media.
Kwenye mapenzi, we mweusi wa kutoka nchi nyingine ni kupata mpenzi wa kizungu ila sio black mwenzako.
Kiujumla wanafanana kwa vitu vingi.
Mlioishi nao kwanini wanafanana kitabia ?