Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,621
Zimbabwe baada ya uhuru wazungu hawakuwa na power. Cha zaidi ni kwamba mugabe aliintroduce sheria kali za kuwabana wazungu ikiwamo kuwanyang'anya mali zao na kuwapa waafrika.Mbona hata Zimbabwe walifanyiws hivyo na wazungu, Zanzibar pia walifanyiwa hivyo na Waarabu
Basically waafrica wote walikuwa wakibaguliwa kwa rangi na mzungu uwe South Africa au Kenya au pengine
Sasa leo hii nianze tabia za wizi, kuuza madawa, kuzaa na kutelekeza watoto na sababu eti ni babu yangu alibaguliwa na wazungu itakuwa sababu ya hovyo sana
Nadhani haujafuatilia history ya hizi nchi za Africa especially hiyo ya Zimbabwe na South Africa ukajua walipitia maisha gani kabla na baada ya uhuru.