Kweli hali ngumu, mpaka wale wa kwenda kuhesabiwa hawaendiBiashara ya kambale siku hizi Bali ngumu hadi kambale wenyewe ukiwavua unawakuta na sura za mnuno
Ile ilikuwa ni sehemu ya movement poromosha wakongwe list ya likes maana walizidi kelele oooh fulani anaongoza kwa likes mara sijui mini now tumewaziba midomo tumesafisha pori zima kasoro ving'ang'anizi wachache tu( Mchawi,Ngedere,Kichumvi na Ze Box) tena kwa gap la kufa mtuHalafu nimekuja kugundua makapuku Forum ni sehemu pekee ambayo watu hawaoni soo kukumwagia likes za kutosha Sana
Shwari tu. Naona mwaka upo ukingoniNiambie Bailly
Mwaka unapukutika kwa kasi sanaShwari tu. Naona mwaka upo ukingoni
Muwekee picha ya kishikwambi chako alizikeMimi sifuati demu PM
Wao ndo wanitafute maana nina kishikwambi kikali huku Uswahilini kwetu
Kwa kasi ya ajabuMwaka unapukutika kwa kasi sana
Haaahaaa, lakini hawezi zaidi ya yeye kujinyonga tuNahofia atakapiga juju kageuke kuku
Ulisahau pichaaa....ila naona umesoma mawazo yanguuMP mikwara umekuja
Nasikia umetoroka depo
Kitu gani hicho?
We jamaa ni tapeli tu ...si useme unakaa K/koo
Daah we achatu.....nilikuwa nachukua mazoez ya kutegua mabomu.....sasa moja lika fyatuka vibaya......ila bado nipoNasikia tangu utoke depo akili zimwfyatuka
Pamoja sanaWakuu nafikiri mpo poa
Naona zimebaki siku chache tumalize mwaka
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kuwashukuru wote walionipa sapoti hapa JF kuanzia January to December,kwangu huu ni mwaka super tofauti na 2015(mwaka niliojiunga)
Shukrani za pekee ziwaendee Jimena na Bailly5/Th Name ....hawa ndo maswahiba wangu wa mwanzo kabisa humu JF walinipokea kishikaji vilevile kwenye thread zangu nyingi walikuwa wachangiaji wakubwa na nikagundua swaga zetu zinafanana kuanzia timu tunazoshabikia hadi vituko vyetu, ndio maana nikashirikiana nao kuanzisha uzi uliokuja kuporomosha ufalme wa wakongwe chit chat wa Makapuku Forum.....nawashukuru sana
Pia namshukuru sana Mussolin5 ....Nimejifunza mengi kutoka kwa Mussolin( huwa namwita dikteta) jamaa alikuwa anaporomosha nondo zilizoshiba kupitia "Leo ktk Historia*" kwenye thread ya Makapuku jamaa kwa ishu za historia hana mpinzani
Makapuku wote kina Jonax(kikofa),QUIGLEY,Shululu(nasikia ni kaka ake Lulu) na wengine wengi (maanashindwa kuwataja wrote)......Japo QUIGLEY mwanzoni ruliluwa tunakwaruzana kinoma lakini jamaa ni mvumilivu sana na hadi leo tupo peace
Nawashukuru pia members wote hapa JF pia nawashukuru na haters maana najifunza mengi kupitia kwenu.....maana wapo waliokazana kunichallennge
Nawakubali wote japo kuna baadhi ya wakongwe ambao nimegeuka kuwa adui yao mkubwa sababu ya kuanzisha vuguvugu la Makapuku,lakini sijali sana maana siwezi kupendwa na wote
Nawashukuru wote
Merry X & Happy New Year
The Bitoz