Subiri asuburi malori toka magu, kisesa, kwimba na kwingineko yatakapoanza kuingia mjini
Japo vijana wa visuti vyeusi get jeusi makumbusho wanaonekana wakirandaranda
wanaJF
i. Kama ni kweli ni hali ya hatari. Hizi ni kodi na Rasilimali za Watanzania wote. Tafsiri sahihi ya ufisadi ni pamoja na matumizi mabaya ya ofisi na rasilimali za umm.
2. Haya yanafanyika siku chache tu baada ya kutumia 64 billioni kwa sherehe zisizo na tija ya miakaka 50
3.Taifa limeshindwa kupandisha posho ya dakya daktari ya 10 elfu tu! Kweli hawana huruma na Taifa hili. Lazima tupige kelele zaidi.
ccm c
maadhimisho ya miaka 35 ya ccm, yamefanyika mkoani mwanza ambapo mkuu wa kaya amehudhuria na kujumuika na green gard sio wakazi wa mwanza kuandamana kuanzia kemondo, ofisi za ccm mkoa mpaka viwanja vya furahisha.
Green gard hao wengi wametoka wilaya za sengerema, waliambatana na ngeleja, walipitia barabara ya mwanza shy. Wengine wametoka magu na misungwi.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za maandamano, ambapo waandamanaji akiwemo mkuu wa kaya walikuwa kwenye =msafara usiozidi mita 50.
Nawasiliasha, picha za maandamano.
View attachment 46689 View attachment 46690 View attachment 46691 View attachment 46692 View attachment 46693 View attachment 46694 View attachment 46695 View attachment 46696 View attachment 46697 View attachment 46698 View attachment 46699
inasemekana ng'ombe 70 wamechinjwa kwa ajili ya mlo wa mchana wa leo kwa watakaofika viwanja vya ccm kirumba
Katika mchezo ambao vijana wa 'magamba' walitukaribisha wenyewe eti kusherekea kuzaliwa kwa chama chao, tumewapelekea gunia la mchanga kwenye pilau lao baada ya kuwatandika mabao 3 kwa 1. Hongereni vijana wa Mageuzi!
Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM, yamefanyika mkoani Mwanza ambapo mkuu wa kaya amehudhuria na kujumuika na green gard SIO WAKAZI WA MWANZA kuandamana kuanzia KEMONDO, OFISI ZA CCM MKOA mpaka viwanja vya furahisha.
Green gard hao wengi wametoka wilaya za sengerema, waliambatana na Ngeleja, walipitia Barabara ya Mwanza shy. wengine wametoka Magu na Misungwi.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za maandamano, ambapo waandamanaji akiwemo mkuu wa kaya walikuwa kwenye =msafara usiozidi mita 50.
nawasiliasha, PICHA ZA MAANDAMANO.
View attachment 46689 View attachment 46690 View attachment 46691 View attachment 46692 View attachment 46693 View attachment 46694 View attachment 46695 View attachment 46696 View attachment 46697 View attachment 46698 View attachment 46699
Inasemekana ng'ombe 70 wamechinjwa kwa ajili ya mlo wa mchana wa leo kwa watakaofika viwanja vya CCM KIRUMBA
Usisahau kuhama lokesheni mkuu kila unaporipoti,jf members tunawindwa sana na usalama wa taifa japo hawatuwezi,wamatumia magari yaliyoandikwa(Mukesh Traves Ltd) kwa sherehe hii,haaaahahaaaaaaa!Mie ni dereva wa Mukeshi