Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
- Thread starter
- #21
Nazidi kuisogelea 09.
dah...hongera sana mkuu kwa kuishi maisha marefu sambamba ni uhuru wa tanzania....ile siku nchi inakwamua mikononi kwa wakoloni wazazi wako nao walipata furaha ya pekee ndani ya familia yenu. ukweli ni siku muhimu sana kwenu. Hongera sana..watu kama nyie serikali ilipaswa kuwapa special treatment kwenye birthday zenu
Dah! Wengne sijui tutafika huko!
Shi izi sikisi tini iazi olidi.hau ol ayu nao?
Angalia usitimize miaka 50 ya kuwa 3 leading beggar dunian
Happy birthday...