Binti wakilokole anilazimisha niokoke

Binti wakilokole anilazimisha niokoke

Kila mtu ananjia ya kuitwa na Bwana Yesu so hio naiona kabisa ni njia ya ww kuokoka kuna jamaa nw ni mchungaji alikuwa anamfatilia mdada flani hv hadi jamaa akaamua kwenda kanisani anakosali huyo mdada ili iwe rahisi kumpata lakini Mungu alivyomkubwa jamaa alijikuta kaokoka kiukwl ukwl na mpka sasa ni mchungaji na yule dada ni mama mchungaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakufai huyo,si ajabu kabla ya tendo atakuambia msali kwanza.
 
Back
Top Bottom