Yeye ameniambia baba yake ni mchugani na mama mchungaji wana kanisa laoUnaonesha hutaki cha uvunguni mkuu, ila siku ukikihitaji zaidi utainama.
Yeye ameniambia baba yake ni mchugani na mama mchungaji wana kanisa lao
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye ameniambia baba yake ni mchugani na mama mchungaji wana kanisa laoUnaonesha hutaki cha uvunguni mkuu, ila siku ukikihitaji zaidi utainama.
Tena huyo anakupenda sana anataka uache uovuHabar zenu wadau Mimi nikijana wakiume nimetokea kupenda binti wakilokole lakin yeye kanipa masharti lazima niokoke kwenye kanisa lao lakilokole ndiyo atakubal kunivuli pichu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana
Hapana
Uongo.mbona nyie mnaweka mashariti awe na uwezi wa kutimiza majukumu sijui awe na kipato.Sababu hakupend anataka ukaongeze idadi ya waumini kanisani kwao. Mtu anayekupenda hawez kukuwekea masharti hayo
Shetani nani?
Nyie kina nani? Unanijua mimi??Uongo.mbona nyie mnaweka mashariti awe na uwezi wa kutimiza majukumu sijui awe na kipato.
Nimemaanisha kila mtu ana kigezo chake.inawezekana kwako issue ya kuokoka haileti mashiko na kuna vigezo vyako kwake vikawa havina maana.Nyie kina nani? Unanijua mimi??
Mie nimeongelea hilo sharti alilopewa. Sio hayo unayoyasema wewe
Nyie wanawake.Nyie kina nani? Unanijua mimi??
Mie nimeongelea hilo sharti alilopewa. Sio hayo unayoyasema wewe