jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari ndugu zangu..
Mimi kijana wenu sipingi ndoa maana ndoa kwangu ni baraka, hivyo nimekusudia kwa akili zangu timamu kuoa.
Siku kadhaa nilileta kwenu huu uzi kuomba ushauri wa hali na mali napia nashukuruni sana ndugu zangu kwa kunishauri kijana wenu.
""( Nataka kumuoa huyu binti ila tabia zake zinatetemesha)""
Kiukweli kwa upande wangu binti nimemuelewa sana na yeye amenielewa sana na pia anajielewa vizuri tuu , tatizo lipo kwenye mawasiliano baina yangu na yeye. Kwani siku zote mimi ndiyo mwanzilishi wa mawasiliano tofauti na hapo hakuna kitu
Kutokana na tabia zake njema na kujisitiri kwake nimefikiria kumuoa ila swala la changamoto ya mawasiliano naona labda ni kwa vile nimempita sana umri kwa takribani miaka kumi (10) ndiyo maana anashindwa kujua cha kuongea na mimi sipati majibu kabisa.
Mtoto nimemuelewa nataka niende nikapeleleze kwao ana kwa ana, mguu kwa mguu kijanja kijanja maana nimekua ni mtu wa kukutana tuu njiani na ndugu zake hivyo nataka niende kwao huko Arumeru niombeeni nifike na kurudi salama kijana wenu.
Naenda kama envoy na pia nita act kama spay chapu kwa chapu. nafikiria kwenda mwenyewe ila document zangu muhimu nitazibeba ili kujilinda likitokea lolote lile maana maboma ya watu siku hizi haya aminiki kabisa kabisa.
Pia binti nime muambia aniwekee security ya kutosha kama ikitokea tafarani .
Wakuu na ndugu zangu naombeni kujua ni nini kingine cha maana cha kuzingatia ndugu zangu ili hali naenda mwenyewe huko kwao Arumeru kupeleleza kwa kuzingatia wameru ni wakorofi sana hasa kaka zao?
Mimi binti yao nimemuelewa sana nataka nimuweke ndani na awe mke wangu halali. Shida ya mawasiliano baina yangu na yeye nataka kuikata kijeshi namna hiyo .
Natanguliza shukrani zenu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mimi kijana wenu sipingi ndoa maana ndoa kwangu ni baraka, hivyo nimekusudia kwa akili zangu timamu kuoa.
Siku kadhaa nilileta kwenu huu uzi kuomba ushauri wa hali na mali napia nashukuruni sana ndugu zangu kwa kunishauri kijana wenu.
Nataka kumuoa huyu binti ila tabia zake zinatetemesha sana
Habari ndugu zangu, Katika kundi la wanawake zangu kadhaa wa kadha nilionao, nimejikuta nimeangukia kumpenda binti anayetokea na kukulia maeneo ya Mlima Meru huku Arusha ndugu zangu. Nipo nae kwenye mahusiano ya wastani lakini nimejikuta moyo unanisukuma sana kumuoa ila nikikumbuka mienendo...
www.jamiiforums.com
""( Nataka kumuoa huyu binti ila tabia zake zinatetemesha)""
Kiukweli kwa upande wangu binti nimemuelewa sana na yeye amenielewa sana na pia anajielewa vizuri tuu , tatizo lipo kwenye mawasiliano baina yangu na yeye. Kwani siku zote mimi ndiyo mwanzilishi wa mawasiliano tofauti na hapo hakuna kitu
Kutokana na tabia zake njema na kujisitiri kwake nimefikiria kumuoa ila swala la changamoto ya mawasiliano naona labda ni kwa vile nimempita sana umri kwa takribani miaka kumi (10) ndiyo maana anashindwa kujua cha kuongea na mimi sipati majibu kabisa.
Mtoto nimemuelewa nataka niende nikapeleleze kwao ana kwa ana, mguu kwa mguu kijanja kijanja maana nimekua ni mtu wa kukutana tuu njiani na ndugu zake hivyo nataka niende kwao huko Arumeru niombeeni nifike na kurudi salama kijana wenu.
Naenda kama envoy na pia nita act kama spay chapu kwa chapu. nafikiria kwenda mwenyewe ila document zangu muhimu nitazibeba ili kujilinda likitokea lolote lile maana maboma ya watu siku hizi haya aminiki kabisa kabisa.
Pia binti nime muambia aniwekee security ya kutosha kama ikitokea tafarani .
Wakuu na ndugu zangu naombeni kujua ni nini kingine cha maana cha kuzingatia ndugu zangu ili hali naenda mwenyewe huko kwao Arumeru kupeleleza kwa kuzingatia wameru ni wakorofi sana hasa kaka zao?
Mimi binti yao nimemuelewa sana nataka nimuweke ndani na awe mke wangu halali. Shida ya mawasiliano baina yangu na yeye nataka kuikata kijeshi namna hiyo .
Natanguliza shukrani zenu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app