Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,408
- 8,702
Utakuwa hujaokoka kutoka moyoni bali umeokoka ili kutimiza haja zako.
Hajaokoka huyo ni mfanyabiashara tu, kwani ww ukishaokoka ndo utakua umefunga ndo umguse popote unapotaka?!Yeye ameweka mgomo baridi nisimuite babe, wala nisimguse mbaka niokoke ndo ataniluhusu kumgusa ninapotaka
Sent using Jamii Forums mobile app
acha kuikana iman yako kwa starehe ya muda mfupi.. hata huko uliko wazuri wapo kama ukiwatafta.Habar zenu wadau Mimi nikijana wakiume nimetokea kupenda binti wakilokole lakin yeye kanipa masharti lazima niokoke kwenye kanisa lao lakilokole ndiyo atakubal kunivuli pichu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaikana imani yangu ndiyo maana nipo ngangar sijamfata kwenye imani yake, navilevile mapenz ayana imaniacha kuikana iman yako kwa starehe ya muda mfupi.. hata huko uliko wazuri wapo kama ukiwatafta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa hujaokoka kutoka moyoni bali umeokoka ili kutimiza haja zako.
Apo umesema neno, mbona wabunge wanahama vyama kwaajir yakupata kituMim nishaokoka mara kibao makanisa tofauti! Wewe nenda kaokoke mara moja mkule kisha rudi kama zamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
kama hayana imani basi fanya kumfuata, ila kufuata kitu kwa ajir ya kupata kitu, hicho kitu kikija kukosekana ama mwenye hicho kitu kukuumiza, utakuja kuchukia hadi na wote walio ktk hiyo iman..Sijaikana imani yangu ndiyo maana nipo ngangar sijamfata kwenye imani yake, navilevile mapenz ayana imani
Sent using Jamii Forums mobile app
Apo umesema neno, mbona wabunge wanahama vyama kwaajir yakupata kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wanaume Mungu anawaona.
Si kazi 'ushaokoka' siku nyingi ukamkula na ukasahau.
Sasa hapa unatutesti tu ujue walio fanya michezo hiyo ya kuokoka ni wangapi huenda ka moyo kanakusuta unatafuta comfort kwa wenzio kina Nokia83
Nilijichanganya mwanzo aliponiuliza Nasali kanisan gani, nasikuju yeye kama kaokoka anampenda nikataja kanisa tofaut na yeye analo sali, kimbembe kikaanzia apo nikatakiwa niokoke maramoja natuwe tunaenda kanisan pamojaUsikute hata mimi nawewe tumeshakutana kwny makanisa ya kiroho huko,tumekanyaga mafuta,tumekula apples.
Mara ya mwisho nimeokoka kwa Richmond [emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikute hata mimi nawewe tumeshakutana kwny makanisa ya kiroho huko,tumekanyaga mafuta,tumekula apples.
Mara ya mwisho nimeokoka kwa Richmond [emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app