intro
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 308
- 328
1.Ni zaidi ya miaka 50 tangu huyu binti avunje ungo.Ulikuwa shamrashamra kwa wazazi sababu binti hao amekua.
2.Ni utamaduni wake kubadili mume kila baada ya miaka 5.Ni utaratibu aliouweka yeye mwenyewe.
3.Binti ana uzuri wa kila namna...Rangi ya dhahabu,maziwa mazuri,milima yake ndo usiseme.
4.Mabwana wakichina na mmarekani walimtaka kwa mda tofauti ili kuutumia uzuri wa mwili wake,cha kusikitishs sasa analiwa mtungo na hao mabwana kwa idhini ya waume zake(wa sasa na waliopita)Huku mabwana wengine(wafaransa,wahindi,waarabu nk) nao wakimmezea mate huyu binti asiyejua kukataa.(neno SITAKI halipo kwenye kamusi yake)
5.Binti kwa sasa ana stress inayotokana na mumewe kugombana na mabwana kutoka kijiji cha pili wanaomuhitaji binti huyu kwa udi na uvumba toka mwaka 1992 tangu itangazwe kuwa mtu toka kijiji chochote unaweza kumuoa binti huyu mrembo.Ila kutokana na ukali wa mume wake wa sasa inaonekana harakati za hao mabwana kumpata huyu binti zinakuwa ngumu.Hao mabwana wataka kufanya maandamano kuonyesha jinsi gani mume wa sasa wa binti anavyowakandamiza katika harakati zao za kumuopoa binti,ndipo binti awaonee huruma na kuwapa mzigo.Ikumbukwe kila mwanaume anaruhusiwa kufanya harakati zake ili kumshawishi huyu binti kwa sharti la kufuata utaratibu uliopo.
Pole sana binti,nitazidi kukuombea kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akuepesha na mabaya yote.Amen
2.Ni utamaduni wake kubadili mume kila baada ya miaka 5.Ni utaratibu aliouweka yeye mwenyewe.
3.Binti ana uzuri wa kila namna...Rangi ya dhahabu,maziwa mazuri,milima yake ndo usiseme.
4.Mabwana wakichina na mmarekani walimtaka kwa mda tofauti ili kuutumia uzuri wa mwili wake,cha kusikitishs sasa analiwa mtungo na hao mabwana kwa idhini ya waume zake(wa sasa na waliopita)Huku mabwana wengine(wafaransa,wahindi,waarabu nk) nao wakimmezea mate huyu binti asiyejua kukataa.(neno SITAKI halipo kwenye kamusi yake)
5.Binti kwa sasa ana stress inayotokana na mumewe kugombana na mabwana kutoka kijiji cha pili wanaomuhitaji binti huyu kwa udi na uvumba toka mwaka 1992 tangu itangazwe kuwa mtu toka kijiji chochote unaweza kumuoa binti huyu mrembo.Ila kutokana na ukali wa mume wake wa sasa inaonekana harakati za hao mabwana kumpata huyu binti zinakuwa ngumu.Hao mabwana wataka kufanya maandamano kuonyesha jinsi gani mume wa sasa wa binti anavyowakandamiza katika harakati zao za kumuopoa binti,ndipo binti awaonee huruma na kuwapa mzigo.Ikumbukwe kila mwanaume anaruhusiwa kufanya harakati zake ili kumshawishi huyu binti kwa sharti la kufuata utaratibu uliopo.
Pole sana binti,nitazidi kukuombea kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akuepesha na mabaya yote.Amen