Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,289
...
....kijiji cha jirani tutamtunza huyoo huko aliko Njaa tu hata mafuta ya kujipaka shidaaa
....kijiji cha jirani tutamtunza huyoo huko aliko Njaa tu hata mafuta ya kujipaka shidaaa
Mume wa sasa hataki hizi bando wakati yeye mwenyewe kampata binti kwa bando.Zamani wanaume walikuwa wnapigana kikwetu tunaita BANDO mwenye nguvu atampata binti. Sasa kwa hili mume wa sasa anawatishia sana wengine na mikwara kibao. Tuendelee kumwombea wasimwage damu ktk kumtafuta huyu mrembo ila kupigana BANDO wapigane tu