Binti usilie ndo ukubwa huo

Binti usilie ndo ukubwa huo

...
....kijiji cha jirani tutamtunza huyoo huko aliko Njaa tu hata mafuta ya kujipaka shidaaa
 
TANZANIA, TANZANIA. NALUPENDA KWA MOYO WOTE;

NCHI YANGU TANZANIA, JINA LAKO NI TAMU SANA.

Abiria Tanzania.jpg
 
Zamani wanaume walikuwa wnapigana kikwetu tunaita BANDO mwenye nguvu atampata binti. Sasa kwa hili mume wa sasa anawatishia sana wengine na mikwara kibao. Tuendelee kumwombea wasimwage damu ktk kumtafuta huyu mrembo ila kupigana BANDO wapigane tu
Mume wa sasa hataki hizi bando wakati yeye mwenyewe kampata binti kwa bando.
 
Back
Top Bottom