Thomas segeja
Member
- Nov 10, 2015
- 72
- 92
Na sisi wenye miandiko mibaya tuweke shindano letu, watu tunakiandiko mibaya hata ukituma sms kwa iphone 11 haisomeki tu
Weka hapa mkuu huwa napenda mwandiko wa kuvutiaWeeeee,sema wengine ndio hvyo hyo guiness ipo mbali,kuna maraia wana,miandiko mizuri balaaaa,
Kwa uchache tu,
Majid Hamidu(classmate)
Kidawa Yusta(Office mate)
Hao unaweza sema ni kompyuta ndio imeandika na sio binadam
Naunga mkono hoja!Weeeee,sema wengine ndio hvyo hyo guiness ipo mbali,kuna maraia wana,miandiko mizuri balaaaa,
Kwa uchache tu,
Majid Hamidu(classmate)
Kidawa Yusta(Office mate)
Hao unaweza sema ni kompyuta ndio imeandika na sio binadam
Kama mende kakanyaga wino anapita juu ya karatasiMungu kambariki, sisi wengine tukiandika ni kama kapita bata vile.
Oyaaaa mwanangu Steve niaje??? Majid hapaWeeeee,sema wengine ndio hvyo hyo guiness ipo mbali,kuna maraia wana,miandiko mizuri balaaaa,
Kwa uchache tu,
Majid Hamidu(classmate)
Kidawa Yusta(Office mate)
Hao unaweza sema ni kompyuta ndio imeandika na sio binadam
Yupo vyedi tunasemaBinti anayeitwa PRAKRITI MALLA kutoka Nepal ameonyesha umahiri wake katika uandishi wa mwandiko wenye kuvutia sana. Handwriting yake ilichaguliwa kama MWANDIKO BORA katika mashindano ya mwandiko ulimwenguni.View attachment 2315476View attachment 2315477
Pacha wako bata mbona hajui kusoma wala kuandika?Hivi inakuwaje mtu anakuwa na hand writing nzuri
Mimi mpaka leo nikiandika kama bata na kazi tunafanya hivyo hivyo..
Hebu nianbieni mnafanyaje mpaka mwandiko unakuwa mzuri?
Hahaaaaaaa,acha kujiongeza weweeeeeOyaaaa mwanangu Steve niaje??? Majid hapa