Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mkuu kweli unachosema ila Kwa suala la mwandiko aisee,,kuna watu nawajua wengi tu wanaandika vzuri,itangazwe hiyo fursa bongo tusiandikie mate😁Wabongo wengi wanajionaga wanaweza kila kitu , waliamini mpaka corona itadunda 😁😁, hahhaa imetafuna kama haina akili, huku nilipo imeondoka na wachagga wengi.

,tungeibuka kidedea mapema sana