Binti mwenye mwandiko Bora duniani

Binti mwenye mwandiko Bora duniani

Wabongo wengi wanajionaga wanaweza kila kitu , waliamini mpaka corona itadunda 😁😁, hahhaa imetafuna kama haina akili, huku nilipo imeondoka na wachagga wengi.
Mkuu kweli unachosema ila Kwa suala la mwandiko aisee,,kuna watu nawajua wengi tu wanaandika vzuri,itangazwe hiyo fursa bongo tusiandikie mate😁
 
Nzuri sana,kuna mwanafunz ana mwandiko mzuri kutuzidi walimu ila ndo hajui kusoma....ananakili vizuri ajabu na mwingine ukimpa kitabu Cha kujifunzia anasoma vizuri page zote Siku tukampa kitabu Cha darasa lingine alishindwa kusoma hata neno ma kumbe alikariri kitabu Cha mwalimu anavyowafundisha Kila Siku.Watoto bhana🤣🤣
Kumbe to yeye ni tcha,hatimaye leo upepo umekufunua!
 
Ila kwa 8yrs Ana muandiko mzuri tuacheni utani
 
What a calligrapher! Ila kuna jamaa yangu kampita kwa kiasi fulani tu.

What I believe ni kwamba, uandishi pia ni hobby. Watu wanaopenda kuandika ndio wenye miandiko mizuri!

Na naamini pia, vile unavyozoea kuandika basi muandiko nao hubadilika na kuwa mzuri. Kwa mfano, mimi nikikaa muda mrefu bila kuandika, basi muandiko nao hubadilika.

So haka katoto nadhani anapenda kuandika kuliko hata kula! Ni wale watu wanaoweza kuandika kuanzia hata asubuhi hadi jioni bila kuchoka! Kuna jamaa yangu anaweza kuandika kwa masaa mengi tu yaan huwa anachoka kukaa tu!
 
Anaweza akawa na mwandiko mzuri lakini marks zinamkataa.
Ukute anapata 12/100
Kweli
Lakini muandiko mzuri una raha yake ukute unapata labda 97/100 halafu na mwandiko mchicha yaani umenyooka..

Imagine raha yake..
Sasa mimi tangu shule sikuwahi kuwa na mwandiko mzuri na sikufeli ,so nabaki nashangaa sana inakuwaje hiyo, ila kwa sasa natamani niwe na muandiko mzuri sababu ni raia mtiifu wa nchi.
 
Hakuna haja kuendelea na shule aende ikulu akawe muandishi wa vikao mpaka uzeeni kwake
 
Back
Top Bottom