Ukiona hivo Una force Tu....ilibidi uwe msukuma kwama ......au poraji moja la mikoba ya kike maarufuHivi inakuwaje mtu anakuwa na hand writing nzuri
Mimi mpaka leo nikiandika kama bata na kazi tunafanya hivyo hivyo..
Hebu nianbieni mnafanyaje mpaka mwandiko unakuwa mzuri?