Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kuna Uzi wa miandiko humu,alianzisha Its Pancho ,mwandiko wangu niliweka huko.We
Weka ushahidi
Kuna Uzi wa miandiko humu,alianzisha Its Pancho ,mwandiko wangu niliweka huko.We
Weka ushahidi
Mkuu kweli unachosema ila Kwa suala la mwandiko aisee,,kuna watu nawajua wengi tu wanaandika vzuri,itangazwe hiyo fursa bongo tusiandikie mate😁
steveachi niliwahi shuudia mwarabu alikua na mwandiko mzuri kuliko darasa zima.Kwa umri huo sijaona mkuu
Bora Bina umenisemea😂😂😂@St.Anne Ana mwandiko mzuri balaa
Kweli kk ni vile ju Guinness iko mbaliWeeeee,sema wengine ndio hvyo hyo guiness ipo mbali,kuna maraia wana,miandiko mizuri balaaaa,
Kwa uchache tu,
Majid Hamidu(classmate)
Kidawa Yusta(Office mate)
Hao unaweza sema ni kompyuta ndio imeandika na sio binadam
Ni vurugu vurugu TU,Mungu kambariki, sisi wengine tukiandika ni kama kapita bata vile.![]()
Ushirikina unahusika mkuuHivi inakuwaje mtu anakuwa na hand writing nzuri
Mimi mpaka leo nikiandika kama bata na kazi tunafanya hivyo hivyo..
Hebu nianbieni mnafanyaje mpaka mwandiko unakuwa mzuri?

Kama nungunungu. 😂
Sana tuHivi kuna Dr ana mwandiko mzuri!
Tunao andika Kama bata, tukae pembeni.Binti anayeitwa PRAKRITI MALLA kutoka Nepal ameonyesha umahiri wake katika uandishi wa mwandiko wenye kuvutia sana. Handwriting yake ilichaguliwa kama MWANDIKO BORA katika mashindano ya mwandiko ulimwenguni.View attachment 2315476View attachment 2315477
Hiki nacho kipaji aiseeBinti anayeitwa PRAKRITI MALLA kutoka Nepal ameonyesha umahiri wake katika uandishi wa mwandiko wenye kuvutia sana. Handwriting yake ilichaguliwa kama MWANDIKO BORA katika mashindano ya mwandiko ulimwenguni.View attachment 2315476View attachment 2315477
Mwamba upo?!!!!!!duh mara ya mwisho kuandika vizuri nilikuwa darasa la nne...
Baada ya hapo mpaka leo.. nimekuwa nikiharisha tu kwenye karatasi.. ila najishangaa nna masters mbili..
nipo mkuu tunapambana na maisha.. on off on offMwamba upo?!!!!!!