Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Sio siku nyingi sana nilibahatika kuwa na mazungumzo na binti mdogo kutoka Kenya. Binti alikuwa very smart na tuliongea mengi sana. Nikamuuliza naijuaje Tanzania? Akasema mazuri mengi. Katika mengi hayo ni mazingira na vyakula,pia akajazia beuatiful people. Any way haya ni kama mafuta tuu kwa vile huwezi ringia vitu vya asili hata wanyama pori wanaweza ringa na pengine kulaumu binadamu wa kitanzania kwa vile wanaweza kuwa hawana mchango wa wanyama katika mazingira.
Baadae nikamuuliza nii hapendi Tanzania Mtoto hakusita akasema kwa namna inaonyesha yupo very honest kwenye hili "I DON`T LIKE THEIR LOGIC" . Sikushangaa sana, pengine ningekuwa na mtanzania mwigine Povu lingemtoka sana kuthibitisha anachosema huyu Binti mdogo. Issue ya Logic kwa watanzania ni kikwazo kikubwa sana. Jinsi wanajibu issue utapata huruma sana. Logic ndio inaleta shida Tanzania, logic ndio inaleta vita, logic ndio inasumbua katika kutunga sheria, logic ndio tatizo kwa watamzania waliosma na wasiosoma. Mbaya zaidi waliosoma ndio shida kabisa.
Wakenya hawajatupita elimu ILA WAMECHAGUA LOGIC TUU.Sisi tumechagua ILLOGIC. Ndio maana wapo rational sisi tupo Irrational. Ndio maana waomi wetu hata wasome vipi. Huishia kuwa kama mwandishi aliyejifunza lugha huku akiwa na alphabet iliyoondolewa herufi za msingi. Mbeleni hatojua kwanini mambo hayaendi.
Nasikia UN kuna kipindi walileta walimu wageni ktk idara nyeti za fikra. Na wengi walikuwa waki deal na Logic directly and indirectly.Tanzania ikiwa mojawapo. Nadhani walishajua nini shida yetu. LOGIC TUU. Kila mahali utasikia kuna walimu wagumu, kuna wazee wa chama wagumu, utasikia simba na Yanga kuna wanazi.Utasikia sheri aza kukufuru nyingi sana. Utasikia mengi sana.
Baadae nikamuuliza nii hapendi Tanzania Mtoto hakusita akasema kwa namna inaonyesha yupo very honest kwenye hili "I DON`T LIKE THEIR LOGIC" . Sikushangaa sana, pengine ningekuwa na mtanzania mwigine Povu lingemtoka sana kuthibitisha anachosema huyu Binti mdogo. Issue ya Logic kwa watanzania ni kikwazo kikubwa sana. Jinsi wanajibu issue utapata huruma sana. Logic ndio inaleta shida Tanzania, logic ndio inaleta vita, logic ndio inasumbua katika kutunga sheria, logic ndio tatizo kwa watamzania waliosma na wasiosoma. Mbaya zaidi waliosoma ndio shida kabisa.
Wakenya hawajatupita elimu ILA WAMECHAGUA LOGIC TUU.Sisi tumechagua ILLOGIC. Ndio maana wapo rational sisi tupo Irrational. Ndio maana waomi wetu hata wasome vipi. Huishia kuwa kama mwandishi aliyejifunza lugha huku akiwa na alphabet iliyoondolewa herufi za msingi. Mbeleni hatojua kwanini mambo hayaendi.
Nasikia UN kuna kipindi walileta walimu wageni ktk idara nyeti za fikra. Na wengi walikuwa waki deal na Logic directly and indirectly.Tanzania ikiwa mojawapo. Nadhani walishajua nini shida yetu. LOGIC TUU. Kila mahali utasikia kuna walimu wagumu, kuna wazee wa chama wagumu, utasikia simba na Yanga kuna wanazi.Utasikia sheri aza kukufuru nyingi sana. Utasikia mengi sana.